Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 11,451
- 9,967
Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar Es Salaam, amesema kuwa wale walioua askari katika tukio la jana kama sio majambazi basi ana uhakika ni magaidi! Hivyo msako mkali unaendelea sasa.
Katika hatua nyingine askari aliyejeruhiwa anaendelea vizuri baada ya kupatiwa matibabu katika hospitali ya Temeke.
Source: ITV habari ya saa mbili
Katika hatua nyingine askari aliyejeruhiwa anaendelea vizuri baada ya kupatiwa matibabu katika hospitali ya Temeke.
Source: ITV habari ya saa mbili