Kova: Walioua askari jana ni 'Magaidi'

Kova: Walioua askari jana ni 'Magaidi'

Sijui ni wakati mwingine tunaitakia nini nchi yetu.
maneno yetu wakati mwingine yanaweza kuja kuwa sumu kutokana kusema sema hovyo mambo ambayo ni mabaya na hayafanana,lakini watanzania kama wananchi tunapaswa kulisimamia taifa letu pale tunapohisi kuwa wale tuliowapa jukumu hilo wameshindwa.
Mungu ibariki Tanzania.
 
Tatizo la kova ni hizo movie anazoangalia ili na yeye aje aekti yake ndo maana kila kitu kwake ni u gaidi tu.
 
Mahakama imeshakataza. matumizi ya neno ugaidi hata pasipostahili nyie hamkomi tu.
 
Mnao kataa kuwa tzee hakuna harufu ya ugaidi,endeleeni kukataa hvo hvo,ila siku kikinuka msibadili misimamo muendelee kukataa,
 
Pumbavu we kova na makengeza yako . Huna akili kabisa. Badala ya kupambana na Majambazi huko nyie ndo mnapigwa na kufa mnakomaa na Gwajima. Badala ya kupambana na Escrow huko hamfanyi kazi, badala ya kupambana na wauwaji wa albino unakomaa na Gwajima, jeshi.lako bomu kabisa hata.akili ya kufikiria hamna ndo maana mnapigwa tu. Naanza kuamini maombi ya Gwajima yanaji
 
Mnao kataa kuwa tzee hakuna harufu ya ugaidi,endeleeni kukataa hvo hvo,ila siku kikinuka msibadili misimamo muendelee kukataa,

Kikinuka watasema ni mmarekani huyo anaiba gesi!
 
Huyu mtu ana kitu cha ziada ndani yake tofauti na wengi tunavyomfikiria, tatizo viongozi wetu hawapendi kupima afya zao mara kwa mara.
 
Back
Top Bottom