Kova: Walioua askari jana ni 'Magaidi'

Kova: Walioua askari jana ni 'Magaidi'

Wanaangaika na Wajima huku Kongowe wanaume wanafanya kazi yao. Unadanganya watu wakimaliza JKT utawapa kazi, wakikumbusha unawatesa na kuwaweka mahabusu. Wajifunze yanayotokea kenya na Nigeria na waache siasa
 
majanga sasa kwa hiyo kova hana uhakika? na hajui anapambana na na adui gani? hii mipolisi vipi?
 
Ndiyo kawaida ya mapolisi. Wakizidiwa kete huja na majina magumumagumu kuuchanganya umma. Wao si ndio magaidi wa wananchi? Hayo magaidi anayoyaita yeye umesikia lini yametumia mabomu na mauaji dhidi ya wananchi wasio na silaha?
 
Huhuhu amboni - majambazi
Hapo... Magaidi
Lipi tukio kubwa zaidi.?
 
Inakuweje kila uhalifu wa askari kuuliwa,kujeruhiwa pamoja na kuporwa silaha panatolewa taarifa za kukera eti waliotenda hayo ni MAGAIDI nadhani wangenyamaza wafanye uchunguzi na wachukue hatua stahiki badala ya hizi kauli nyeoesi
 
Kasema ni majambazi wa kutumia silaha, kama majambazi wengine tu wanaotumia silaha....pia kuna VIASHIRIA/CHEMBECHEMBE za ugaidi.

Hapo hakusema kama kuna uhakika kama ni magaidi, na ndio maana uchunguzi makini unaendelea.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
....mmmmh!! Uchunguzi makini utafanywa na Polisi!!, tokea lini?
 
Hivi kova ana elimu gani?jamaa huwa ana kurupuka kweli kutoa taarifa....
 
Polisi wetu poleni jitahidini kuwa makini zaidi na majambazi
 
Back
Top Bottom