Kova: Ole wenu wafuasi wa Gwajima

Kova: Ole wenu wafuasi wa Gwajima

Tayari kuna mkusanyiko wa waumini wa gwajima katika kituo kikuu cha polisi......
 
hahahah aaa some times ni shidaa ingekuwa siku ya kesi wanakwenda mahakamani kusikiliza kesi tungesema sawa wanahaki.
lkn jamaa anakwenda kuhojiwa nyie mwaenda kufanya nini??

askofu wenu huyo anafaham fika ni madudu gani au kuna mambo gani maovu kayafanya ndio maana unahaha hivyo??
alisema yy hana ugomvi na polisi wala hana ugomvi na.serikali lakini kwa kitendo chavkuwahamasisha waumini wake kufika centra ni kutafuta ugomvi na polisi kinguvu.

mm riport ya kichapo kamili nitakipata baadae maana mama mwenye nyumba na wanae ni waumini na niliwasikia wakizungumza juu ya maanadamano hayi
 
Kwa hilo hakuna sababu ya kulaumu polisi. Ifike mahala watu waache kutumia ujinga na umaskini wa Watanzania. Gwajima asimame yeye kama yeye na siyo kuanza kukaa na mwavuli wa waumini. Mtu unatuhumiwa halafu bado unataka huruma ya watu, kama kweli anaamini hana kosa sasa huruma ya waumini ya nini. Hii nchi yetu tunaipeleka wapi? kila mtu yupo juu ya sheria. Kuhijiwa nako unataka waumini washinikize ili usihojiwe na madhambi yako yajulikane. Tafadhali, sheria ichukuwe nafasi yake. Na polisi ni vyema wakahoji vyema alikopata mali hizo wakati waumini bado wanakufa njaa yeye anameeka kwa kuwatapeli.
 
Talk is cheap uwa wanaongea tu, mpaka watoe kibano kwanza cha uhakika ndio wataelewa somo.
 
Wapigwe tu badala ya kwenda makazini wanahangaika kumsindikiza mtu ambaye ana mapesa kibao ya sadaka, hovyo sana.
 
mkuu ww ni bawacha??? by the way ur comment is already here. touch ur ass

Mkuu una hoja yenye mashiko tatizo unachanganya na ushabiki.

Wafuasi wa Gwaijima kukusanyika kituoni ni ishara ya kuonyeshana ubabe.

Wangeenda wawakilishi wachache wasiozidi watano akiwemo mwanasheria wake ingetosha kabisa.
 
Dah mbona unachanganya habari?ni tatizo la watu hewa,siasa na dini wapi na wapi?

Upuuzi mtupu umeandika
 
Haya mambo sio ya kushadadia bz yakitimka vizuri hata wewe unalo.
 
Kwa hilo hakuna sababu ya kulaumu polisi. Ifike mahala watu waache kutumia ujinga na umaskini wa Watanzania. Gwajima asimame yeye kama yeye na siyo kuanza kukaa na mwavuli wa waumini. Mtu unatuhumiwa halafu bado unataka huruma ya watu, kama kweli anaamini hana kosa sasa huruma ya waumini ya nini. Hii nchi yetu tunaipeleka wapi? kila mtu yupo juu ya sheria. Kuhijiwa nako unataka waumini washinikize ili usihojiwe na madhambi yako yajulikane. Tafadhali, sheria ichukuwe nafasi yake. Na polisi ni vyema wakahoji vyema alikopata mali hizo wakati waumini bado wanakufa njaa yeye anameeka kwa kuwatapeli.

Mkuu kunakitu kinaitwa demokrasia. na demakarasia ya kweli inaruhusu watu kuweza kujikusanya kwa ajili ya kutoa maoni yao. na hiyo nihaki ya wafuasi wa gwajima kukusanyika kuonyesha kumuunga mkono kiongozi wao. sasa tatizo ni hizi sheria za kigandamizi ambazo zinaruhusu polisi kusema wamepata taarifa za kiinteligensia kutakuwa na fujo wakati wote tunajua ni porojo tupu.
 
Huyo Gwajima naye anawatumia waumini vibaya leo ni siku ya kazi watu wanatakiwa waende kazini au
Kwenye biashara zao wajenge uchumi wa Tanzania na sio mambo ya kusindikizana mbona anataka kuaibisha ukristo.
 
Usitishe watu ukame weww
Tumezaliwa jangwani

Kama umezaliwa jangwani kwenye mafuriko ya mvua ya kila mwaka watu wanakohama na kurudi mvua zikiisha lazima akili yako iwe na shoti na uwe msukule original.
 
Wafuasi wa Gwajima ndio hao hao wafuasi wa CHADEMA wana asili ya kutopenda Amani.
Wakileta za kuleta watandikwe tu maana hakuna namna nyingine.
 
Huyo Gwajima naye anawatumia waumini vibaya leo ni siku ya kazi watu wanatakiwa waende kazini au
Kwenye biashara zao wajenge uchumi wa Tanzania na sio mambo ya kusindikizana mbona anataka kuaibisha ukristo.
Matusi aporomoshe yeye halafu aombwe kusindikizwa na waumini kwani waumini ndio walimtuma aporomoshe hayo matusi? Anawaonea hata kama ni misukule,misukule nayo inabidi ihurumiwe.Yaani Gwajima hana huruma hata kwa misukule?

Aliloligema inabidi alinywe mwenyewe asisumbue waumini.Akumbuke kile anachohubiri kuwa Kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe.Hilo zigo la matokeo ya matusi yake ni lake abebe mwenyewe.

Asibebeshe mazagazaga yake waumini.Hilo kanisa linahitaji kuwa na mshauri wa waumini dhidi ya kutumiwa vibaya na uongozi hasa na Gwajima.
 
Nilidhani kazi ya Police ni kuchukua maelezo ya pengo au mlalamikaji, pia na maelezo ya gwajima na kupeleka faili lake mahakamani! Sasa huko wanacho muhoji kila siku ni nini kama Police nayo sio chama cha siasa?

Kwanini Police mnatengeneza chuki zisizo za lazima kati yenu, na chama chenu kutoka kwa wananchi, tena kipindi kifupi kabla ya uchaguzi?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom