Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,333
Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova Na Asifiwe George, Dar es Salaam JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limetoa onyo kwa wafuasi wa Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ambao leo wamepanga kumsindikiza kiongozi wao kwenda katika mahojiano na jeshi hilo. Hatua ya wafuasi hao kutaka kumsindikiza kiongozi huyo, imekuja baaada ya kutangaziwa kujitokeza kwa wingi wakiwa katika kanisa hilo lilipo Kawe, jijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam.
Chanzo: Mtanzania