Kosa langu mimi liko wapi?

Kosa langu mimi liko wapi?

Endelea IPO siku utaliuwa tigo
Hiyo ilikuwa zamani ila kwasasa km mkeo analiwa bora umsamehe mrudiane au muachane na ukumbuke hakuna adhabu au mashitaka ya mgoni (mtu uliyemfumania). Haya mambo humalizika kwa ngazi za chini kwa balozi na mwenyekiti au baraza la wazee. Ukimla tigo mgoni wako na kukushitaki utahukumiwa miaka 30 au kifungo cha maisha kwa kesi ya ulawiti.
Uaminifu wa mwanaume upimwa akiwa na pesa na uaminifu wa mwanamke upimwa mwanaume akiwa hana pesa. Huyo jamaa alifanya makosa sana ni halali mwanamke kumkataa. Mwanamke hana kosa km jamaa anapesa alimuacha mkewe ni sahihi 100% mwanamke kumuacha jamaa. Huyo jamaa apambane na hali yake tu.
mpe pole sana. Malipo ni hapa hapa duniani
 
Mtoa mada huna kosa

Hidden Id Quinine Mwitu Nyalotsi somaa hiyoooo
Mwanaume asiomilikiwa na mwanmke mmoja na wanawake wa kileo hahahahha ....kazi mnayo siku iz ni Tit for Tat wamama wako macho
Umekomaa na mchepuko na ye ana bwana mpya ahhahaha
 
Crs
Hiyo ilikuwa zamani ila kwasasa km mkeo analiwa bora umsamehe mrudiane au muachane na ukumbuke hakuna adhabu au mashitaka ya mgoni (mtu uliyemfumania). Haya mambo humalizika kwa ngazi za chini kwa balozi na mwenyekiti au baraza la wazee. Ukimla tigo mgoni wako na kukushitaki utahukumiwa miaka 30 au kifungo cha maisha kwa kesi ya ulawiti.
Uaminifu wa mwanaume upimwa akiwa na pesa na uaminifu wa mwanamke upimwa mwanaume akiwa hana pesa. Huyo jamaa alifanya makosa sana ni halali mwanamke kumkataa. Mwanamke hana kosa km jamaa anapesa alimuacha mkewe ni sahihi 100% mwanamke kumuacha jamaa. Huyo jamaa apambane na hali yake tu.
mpe pole sana. Malipo ni hapa hapa duniani[/QUOTEcrap
 
Hiyo ilikuwa zamani ila kwasasa km mkeo analiwa bora umsamehe mrudiane au muachane na ukumbuke hakuna adhabu au mashitaka ya mgoni (mtu uliyemfumania). Haya mambo humalizika kwa ngazi za chini kwa balozi na mwenyekiti au baraza la wazee. Ukimla tigo mgoni wako na kukushitaki utahukumiwa miaka 30 au kifungo cha maisha kwa kesi ya ulawiti.
Uaminifu wa mwanaume upimwa akiwa na pesa na uaminifu wa mwanamke upimwa mwanaume akiwa hana pesa. Huyo jamaa alifanya makosa sana ni halali mwanamke kumkataa. Mwanamke hana kosa km jamaa anapesa alimuacha mkewe ni sahihi 100% mwanamke kumuacha jamaa. Huyo jamaa apambane na hali yake tu.
mpe pole sana. Malipo ni hapa hapa duniani

Crap
 
mkuu msemakweli2 labda ulikuwa hujui mkuu naomba hapa nikujulishe, unatembea na mke wa mtu mkuu, jiandae na wewe wako atachukuliwa tu. Jiandae kisaikolojia kumegewa.
hizi ni nadharia tu wa kwangu namtimizia mahitaji yote iwaje achukuliwe,kumbuka huyu ni kisa kimempata hiko na jamaa yake sio kwamba mimi nimemuiba mkuu
 
Km una ma....***vi kichwani ndiyo utaweza kusema ni crap. Mkeo atamegwa na ww utafia jera. Miaka 30 au kifungo cha maisha.
Usije jaribu kumla tigo mgoni wako sbb ni kesi ya ulawiti. Narudia tena utafungwa miaka 30 au kifungo cha maisha. Sikio la kufa huwa halisikii dawa na siku ukiwa nyuma ya nondo unasubiri kuhukumiwa miaka 30 au kifungo cha maisha ndiyo utanikumbuka. Tatizo haujui sheria unachukulia mambo kirahisi rahisi tu. Na ukumbuke hakuna kesi ya ugoni mahakamani sijui umemfuma mkeo na jamaa. Pole sana kijana.
Nenda polisi au kwa watu wa washeria wakusaidia maana una kichwa kigumu na huelewi mambo. Angalia kijana utafia jera kwa ujinga wako
 
Km una ma....***vi kichwani ndiyo utaweza kusema ni crap. Mkeo atamegwa na ww utafia jera. Miaka 30 au kifungo cha maisha.
Usije jaribu kumla tigo mgoni wako sbb ni kesi ya ulawiti. Narudia tena utafungwa miaka 30 au kifungo cha maisha. Sikio la kufa huwa halisikii dawa na siku ukiwa nyuma ya nondo unasubiri kuhukumiwa miaka 30 au kifungo cha maisha ndiyo utanikumbuka. Tatizo haujui sheria unachukulia mambo kirahisi rahisi tu. Na ukumbuke hakuna kesi ya ugoni mahakamani sijui umemfuma mkeo na jamaa. Pole sana kijana.
Nenda polisi au kwa watu wa washeria wakusaidia maana una kichwa kigumu na huelewi mambo. Angalia kijana utafia jera kwa ujinga wako
Jera ndio wapi?dickhead
 
Back
Top Bottom