Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,671
Haha niko tayari..nipe masharti basiHa aha ha ha Sawa ila vigezo na mashart kuzingatiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha niko tayari..nipe masharti basiHa aha ha ha Sawa ila vigezo na mashart kuzingatiwa
Ha ha ha ha ha Usjali ila kias cha mtaji kina determine mashart sjajua mtaji wa kias gan unataka...
Alikuwa na Avatar ya Maua kapinda hivi, itakuwa kaolewa kapigwa biti kuingia humuHivi Sky Eclat yule dada yetu miss chagga alienda wapi?
Ha ha ha ha ha Usjali ila kias cha mtaji kina determine mashart sjajua mtaji wa kias gan unataka...
Ha ha ha ha kwahyo unatoa ruhusa ya kuja Pm? maana umeombea hapa nkajua tunamaliza kila kitu hapaNdo unafuata ile taratibu mpya ya "kuyamaliza hapahapa" jamani
Niko serious mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha kwahyo unatoa ruhusa ya kuja Pm? maana umeombea hapa nkajua tunamaliza kila kitu hapa
Ha ha ha ha ha ha ha ha
Hilo ni jibu pigia mstari amemchanganya mke wa mtu mpaka hataki kurudiana na mumeweKwahiyo mmeshakulana...???
Hizo fix tuu...hahahHilo ni jibu pigia mstari amemchanganya mke wa mtu mpaka hataki kurudiana na mumewe
Inawezekana ujue mwanamke kakutana na show ambazo hajawahi pewa na mumewe woiiiiiiHizo fix tuu...hahah
Nmekuja Pm ila mwenyeji sjawamkuta majiran wanasema mwenyej alifunga milango muda mrefu so nmeacha ujumbe akirud aniambie
Hahahaaa me namuona kama mpemba hiviii huyuu jamaaInawezekana ujue mwanamke kakutana na show ambazo hajawahi pewa na mumewe woiiiiii
Mpemba kivipi jamaniHahahaaa me namuona kama mpemba hiviii huyuu jamaa




Nmekuja Pm ila mwenyeji sjawamkuta majiran wanasema mwenyej alifunga milango muda mrefu so nmeacha ujumbe akirud aniambie