msemakweli2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 1,627
- 1,880
Nilibahatika kuwa karibu na binti mmoja hivi ambaye aliniomba ushauri alikuwa anataka kuachana na mumewe na alitaka kutoroka amuachie watoto,nikamketisha chini nikampa ushauri nikamwambia amekosana na mume iweje awaache watoto wadogo wateseke.
Nikamsihi ndoa ni uvumilivu msamehe mumeo muendelee na maisha,kisa cha kukosana ni kwamba mumewe ni mfanyabiashara alikuwa na mkwanja mnene akawa hamjali demu,jamaa akachukua chombo kingine akakijengea akawa hana muda na mkewe,sasa amefilisika anarudi nyumbani anajidai anampenda tena mkewe.
Mkewe kwa sasa ana hela ya maana kwakuwa baada ya kumshauri na akanielewa akakubali kubaki nikampa kimtaji akakitumia vizuri sasa hivi ana maduka manne.
Jamaa anaanza kujisogeza mwanamke hataki anasema alishaumia sana, mpaka vyumba wametengana sasa mwanamke nimejaribu kumuweka chini kumwambia asahau yaliyopita arudiane na jamaa yake hataki kunielewa nikianza hizo stori za bwanake ananuna kabisa na maongezi yanakatika.
Mimi nikaona sio mbaya ngoja niendelee ninavyokwambia ni mwaka wa pili sasa nakula vitu,haambiwi wala hasikii anasema alishamtoa jamaa kwenye moyo wake.
NAULIZA WADAU KOSA LANGU MIMI NI LIPI HAPO?
Nikamsihi ndoa ni uvumilivu msamehe mumeo muendelee na maisha,kisa cha kukosana ni kwamba mumewe ni mfanyabiashara alikuwa na mkwanja mnene akawa hamjali demu,jamaa akachukua chombo kingine akakijengea akawa hana muda na mkewe,sasa amefilisika anarudi nyumbani anajidai anampenda tena mkewe.
Mkewe kwa sasa ana hela ya maana kwakuwa baada ya kumshauri na akanielewa akakubali kubaki nikampa kimtaji akakitumia vizuri sasa hivi ana maduka manne.
Jamaa anaanza kujisogeza mwanamke hataki anasema alishaumia sana, mpaka vyumba wametengana sasa mwanamke nimejaribu kumuweka chini kumwambia asahau yaliyopita arudiane na jamaa yake hataki kunielewa nikianza hizo stori za bwanake ananuna kabisa na maongezi yanakatika.
Mimi nikaona sio mbaya ngoja niendelee ninavyokwambia ni mwaka wa pili sasa nakula vitu,haambiwi wala hasikii anasema alishamtoa jamaa kwenye moyo wake.
NAULIZA WADAU KOSA LANGU MIMI NI LIPI HAPO?