junior2008
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 528
- 42
Kwani si viongozi wa chama wapo? wamuadhibu basi! tuone mwenye nguvu!
Mwenye nguvu ni chama sio mtu binafsi! Zitto anatakiwa kuzingatia hilo na akiamua kuweka mbele maslahi binafsi ataendelea kuporomoka zaidi wakati huu ambapo vijana wengi na makini wameingia kwenye siasa!!