kifungu cha 326 (1) cha Kanuni ya Adhabu [Sura ya 16 R.E 2023]. Chini ya kifungu hiki upande wa Mashtaka au tuseme mlalamikaji anatakiwa kuthibitisha yafuatayo;
i. Kwamba mtuhumiwa alikuwa ameharibu au kuharibu mali.
ii. Mali hiyo iliyoharibiwa au kuharibiwa ni mali ya mtu mwingine.
iii...
Rais Samia umekosea sana kutoa msamaha kwa wahalifu wa October 29.
Unadhani utapendwa na watu wote?
Unadhani wapinzani watabadili mtizamo wao juu yako?
Wewe ndiye uliwapa kupumua wapinzani baada ya kibano kitakatifu cha miaka 6 mfululizo bila kupumua.
Ulipoingia ndipo ukawapa uhuru, hata...
Cheki hii orodha iliyotolewa na Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba kuhusu idadi ya vitu vilivyochomwa moto wakati wa Maandamano ya Oktoba 29, 2025.
1. Ofisi za Serikali 756
2. Vituo vya mwendokasi 26
3. Vituo vya Polisi 159
4. Vituo vya mafuta 672
5. Magari Binafsi 1642
6. Pikipiki binafsi 2268
7...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.