Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Muongozo wa maadili wa CCM (mwaka 2002) unasema hivi:
kwa maneno mengine Ibara ya 15:1 inaendelea kusimama.
Mambo ndiyo hayo!
8.2.9 Kosa kubwa kuliko yote katika Chama Cha Mapinduzi ni kukisaliti
Chama na kukiweka katika hali ama ya kushindwa katika Uchaguzi ama
ya kunuka mbele ya Umma; anayeshirikiana na wapinzani kukichimba
na kukivuruga Chama chetu. Huyo hawezi kukubalika kuwa miongoni
mwetu.
kwa maneno mengine Ibara ya 15:1 inaendelea kusimama.
Mambo ndiyo hayo!