Na wewe endelea kuchambua mchele na wifi yako.Vyovyote vile na kwa gharama yoyote ile hawezi kuwa Raisi wa Tanzania. Na sababu za msingi kabisa zipo. Nyie endeleeni kukata mauno Ni yeye.
Ukipewa hoja jibu kwa hoja.
Sio kila anayejibu post yako ni mpinzani wako.