Kosa kubwa ni lipi hapa?

Kosa kubwa ni lipi hapa?

ragin

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,391
Reaction score
9,378
Wadau niambieni ukweli


Hivi kosa kubwa ni lipi hapa?

Mfano, unataka umjue vizuri bebe wako pindi àkikasirika anareact Veep au ndo mzee wa kupiga mke / mume ndani ya nyumba n.k

Ukimwambia "tuachane".

au
Ufume msg za mapenzi kwenye simu.

Hapo lipi linauma na halisameheki kirahisi?.


Iko hivi wikiend iliyopita mwenzangu kuna kitu alinikeraaaa kwa Mara ya kwanza aliniona action yangu baadae ndo nikaambiwa " nimepata mke si wa mchezomchezo na ni halali mpaka mbinguni" hayo ni Rafiki yake ndo alinitonya akidai huyu mwenzangu alikuwa anapima upepo. Nilimind.

Sasa juzi ni nikamwambia "tuachane"

Weeee!!!!! Alivovimbaaaaaa mdomo kazini nasikia alikuwa anabamizabamiza vitu ovyo, siku hiyo alishinda kazini mpaka usiku nkaambiwa alitamani hadi apige deki ofisini ili mradi tu awe bize.

Sasa hapa nimemwomba msamaha nikamwambia nlikuwa napima upepo amemind kimya hadi sasa.

Ndio maana nkawauliza hivi ukipata jaribu kati ya hayo juu niliyosema ni lipi linauma na halisameheki?.
 
Ulijaribu kupima upepo na ukakuta umejaa..😂😂 wanaume wengine hawapimwi.
Omba msamaha na usithubutu kurudia hiyo kauli kama Kweli unampenda mchizi wako.

Meseji za mapenzi.
 
Nyie wote mnastahiri mboko haswaa.. ukimwi mpime,gono mpimwe,malaria mpimwe,kisonono mpimwe na kwenye mapenzi mpimane..😅

Mnazingua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom