Nshaomba msamaha sijui anasamehe taratibuUlijaribu kupima upepo na ukakuta umejaa..😂😂 wanaume wengine hawapimwi.
Omba msamaha na usithubutu kurudia hiyo kauli kama Kweli unampenda mchizi wako.
Meseji za mapenzi.
Aiseee sasa mda wote hamkwaruzani si unajaribu kumcheki yupoje, na atareact Veep.Nyie wote mnastahiri mboko haswaa.. ukimwi mpime,gono mpimwe,malaria mpimwe,kisonono mpimwe na kwenye mapenzi mpimane..😅
Mnazingua
Akili zenu hazipishani sana na huyu.Nshaomba msamaha sijui anasamehe taratibu
Aiseee sasa mda wote hamkwaruzani si unajaribu kumcheki yupoje, na atareact Veep.
Dah...Godspeed,Break a legMapenzi upofu
Nakata! mbona binti yangu anikimbi tena nimuwazi kwangu?Dar
Uga?
Usiriaz wako watoto wako watakukimbia.
Imeshatokea sana hiyo kawaida sanaHujawahi kupendwa hadi ukajijua
Hata huo upepo ulikuwa haujajaa maana angekuwa umejaa angekuja kuomba ushauri mwingine na machozi juu.Huwezi kuijaribu sumu kwa kuionja!Ulijaribu kupima upepo na ukakuta umejaa..😂😂 wanaume wengine hawapimwi.
Omba msamaha na usithubutu kurudia hiyo kauli kama Kweli unampenda mchizi wako.
Meseji za mapenzi.