Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,882
- 828,449
Wakati alipokuwa na kashfa ya ngono kipindi kile.. ccm walisimama naye kumtetea mpaka wakapovuka... Yalitokea mazonge yake mengi tu lakini walifunika kombe mwana haramu akapita...
Nyakati zikapita.. Watu wameumbiwa kusahau maisha yakasonga.. Yalaendelea kuwatokea Watanganyika mengi mabovu ya kuumiza sana! Hakuna hata mwana ccm mmoja aliyesimama kidete na kwa uwazi kuyakemea..
Hatimaye hali ilipozidi kuwa mbaya sana, pamoja na sababu zingine za kisiasa Gwajima akaibuka tena! Lakini this time akiwa kavaa koti la uzalendo.. Akakosoa na kushauri kama mwananchi Mtanganyika huru..
Hakuongea cha ajabu kwakuwa yote yalikuwa marudio tu yaliyosemwa sana na wapimzani na yakawaletea matatizo makubwa sana.. Kaongea sauti ya wananchi.. Kapoza kiu ya wengi waliotamani kusikia aliyoyasema kutoka nje ya upinzani na ndani ya ccm
Hajakashifu mtu, hajatukana mtu kaongea fact tupu. Na akatoa sababu za wazi kwanini hakuyaongea bungeni.. Na kwanini hakuyaongea kwenye vikao vya chama na kwanini hakuongea binafsi na mkuu wa nchi
Aliweza kuweka uwiano sawia kwenye mazungumzo yake na waandishi wa habari
Sasa kituko kiko hapa.. Wamejitokeza makada wenzake kumjibu.. Si kwa hoja bali kwa mipasho, kejeli na vitisho... Mpaka mtu unajiuliza kwani hawakumsikiliza vema? Hawakumuelewa?
Kumbe ndani ya ccm ukitenda uovu ni rahisi kutetewa kuliko ukiamua kusimama na watanganyika na kuwatetea ama ukisimama na kutoa ushauri kwa maslahi mapana ya Tanganyika?
Mpaka sasa waliomjibu kwa vioja, kejeli na vitisho ni hawa
Mwijaku chawa
Jerry Muro kada mhamiaji
Msukuma MB
Abas Tarimba MB
Gwajima amesema hatakaa kimya hiyo naye kawajibu kwamba yeye ana leseni kubwa.. Hawezi kuwajibu wenye leseni ya bajaj
Je ccm kosa la Gwajima ni lipi?
View: https://vm.tiktok.com/ZMSjPMQh2/
Nyakati zikapita.. Watu wameumbiwa kusahau maisha yakasonga.. Yalaendelea kuwatokea Watanganyika mengi mabovu ya kuumiza sana! Hakuna hata mwana ccm mmoja aliyesimama kidete na kwa uwazi kuyakemea..
Hatimaye hali ilipozidi kuwa mbaya sana, pamoja na sababu zingine za kisiasa Gwajima akaibuka tena! Lakini this time akiwa kavaa koti la uzalendo.. Akakosoa na kushauri kama mwananchi Mtanganyika huru..
Hakuongea cha ajabu kwakuwa yote yalikuwa marudio tu yaliyosemwa sana na wapimzani na yakawaletea matatizo makubwa sana.. Kaongea sauti ya wananchi.. Kapoza kiu ya wengi waliotamani kusikia aliyoyasema kutoka nje ya upinzani na ndani ya ccm
Hajakashifu mtu, hajatukana mtu kaongea fact tupu. Na akatoa sababu za wazi kwanini hakuyaongea bungeni.. Na kwanini hakuyaongea kwenye vikao vya chama na kwanini hakuongea binafsi na mkuu wa nchi
Aliweza kuweka uwiano sawia kwenye mazungumzo yake na waandishi wa habari
Sasa kituko kiko hapa.. Wamejitokeza makada wenzake kumjibu.. Si kwa hoja bali kwa mipasho, kejeli na vitisho... Mpaka mtu unajiuliza kwani hawakumsikiliza vema? Hawakumuelewa?
Kumbe ndani ya ccm ukitenda uovu ni rahisi kutetewa kuliko ukiamua kusimama na watanganyika na kuwatetea ama ukisimama na kutoa ushauri kwa maslahi mapana ya Tanganyika?
Mpaka sasa waliomjibu kwa vioja, kejeli na vitisho ni hawa
Mwijaku chawa
Jerry Muro kada mhamiaji
Msukuma MB
Abas Tarimba MB
Gwajima amesema hatakaa kimya hiyo naye kawajibu kwamba yeye ana leseni kubwa.. Hawezi kuwajibu wenye leseni ya bajaj
Je ccm kosa la Gwajima ni lipi?
View: https://vm.tiktok.com/ZMSjPMQh2/