Kortini kwa kutaka kumuua Lubuva

Kortini kwa kutaka kumuua Lubuva

Hakuna dhambi yeyote ni maamuzi ya watanzania wakiwawepo wana ukawa walioamua kuwa ikulu haiwezi juwa pango l walowezi

Kumbe unataka kutwambia kuwa aliyekuwapo ikulu ni mwizi?
 
Watu wawili wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kutaka kumuua jaji Damian Lubuva.

Source: Habari Leo.

auwawe tu maana hakuna namna nyingine kwa ujinga wa kukubali kushirikiana na CCM kumuibia kura Lowassa.
 
auwawe tu maana hakuna namna nyingine kwa ujinga wa kukubali kushirikiana na CCM kumuibia kura Lowassa.

Pole sana yaani bado uko nyuma hivyo yaani bado umelala. Wenzio hapa ni Kazi tu!
 
Wewe mwaka huu lazima utawajua watanzania maana wameamua na uswahiba wako na ritz moko tunaujua lazima tu kutembelea
Mmawia , vipi aisee! habari za kuadimika! Naona ulijichimbia msimbati kwa bibi baada ya fisadi wako kukatwa tena na watanzania kwa kura! karibu tena mdau.
 
Last edited by a moderator:
kuna watu wanalala wanaamka wanatafuta pa kutupia lawama! nyinyi mlitakiwa mpate mwenyekiti wa tume mwenye akili kama za mkapa! huyu babu mnamuonea sana lubuva mnambebesha lawama mno hivi mtu unaibiwaje kura ambazo zimebandikwa nje ya kila kituo! makengeza ya akili ni kilema cha kudumu nilitegemea ukawa mngepita kila kituo tena nchi nzima kukariri zile kura ili mfunge midomo ila kwakuwa mnakurupuka mnatafta wa kumpa mizigo yenu hadi leo hamtaji jimbo mliloibiwa mnaropoka tu. nilikuwa siamini kama kuna dumb mob psychology no offense but u guys need to grow up and build tanzania
 
Naujua zaidi ya ukweli msipende pindisha mambo nani amchague Fisadi [pole sana kama ulimchagua Fisadi it is up to you! Sisis wengine hapa ni kazi tu!!!!

Kuna ck utaelewa
 
Mkuu zingatia ushauri wangu rudi kwenu musoma uanze kuvua samaki mkuu maana huyu magufuri hana mpango na mashosti wa mkwere

Na wewe sijui utaenda wapi! baada ya mamvi kuliwa hela sasa hana dili na sidhani kama atagawa hela tena!Na wewe hata mkorosho mmoja huna! vp ishu ya kugombania maiti inalipa or?
 
Nashauri ikithibitika wauawe kwa kunyongwa hadharani pale mnazi mmoja tuwaone au ITV ioneshe live. Hii kitu lazima lowasa imbebe na mbowe wake
 
Na wewe sijui utaenda wapi! baada ya mamvi kuliwa hela sasa hana dili na sidhani kama atagawa hela tena!Na wewe hata mkorosho mmoja huna! vp ishu ya kugombania maiti inalipa or?

Hiyo imeisha bado ya kuharibu hilo kaburi la mawazo sijui mlitaka kufukua kaburi mtoe maiti mule nyama?
 
Na wewe sijui utaenda wapi! baada ya mamvi kuliwa hela sasa hana dili na sidhani kama atagawa hela tena!Na wewe hata mkorosho mmoja huna! vp ishu ya kugombania maiti inalipa or?

Mimi nipo hapa igoma Eden nachapa supu na castle lager bariiidiiiiiiii karibu upashe utumbo maana najua lumumba sasa ni njaa kali maana jamaa kaukataa uwenyekiti makusudi
 
Hiyo imeisha bado ya kuharibu hilo kaburi la mawazo sijui mlitaka kufukua kaburi mtoe maiti mule nyama?

Aisee! kaburi tena! jamani poleni sana! sasa hii nayo lini linatolewa TAMKO la kaburi?
 
Mimi nipo hapa igoma Eden nachapa supu na castle lager bariiidiiiiiiii karibu upashe utumbo maana najua lumumba sasa ni njaa kali maana jamaa kaukataa uwenyekiti makusudi

Niko hapa mitaa ya Mkuyuni nakuja huko nikitoka zangu hapo mitaa ya Igogo kuna mshkaji ana mpunga wangu kdg.
 
Niko hapa mitaa ya Mkuyuni nakuja huko nikitoka zangu hapo mitaa ya Igogo kuna mshkaji ana mpunga wangu kdg.

Basi ukifika mitaa hiyo ni pm maana siasa siyo vita mura
 
Back
Top Bottom