Kortini kwa kutaka kumuua Lubuva

Kortini kwa kutaka kumuua Lubuva

Amen amne. mbona wapinzani wengi tu walikiri kumpa kura Magufuli hilo halina mjadala na Magufuli ameshinda kihalali kwa kujipambanua na udhalimu!
Magufuli mwenyewe anajua alipachikwa ndio maana kaingia na maigizo kibao
 
kuna watu wanalala wanaamka wanatafuta pa kutupia lawama! nyinyi mlitakiwa mpate mwenyekiti wa tume mwenye akili kama za mkapa! huyu babu mnamuonea sana lubuva mnambebesha lawama mno hivi mtu unaibiwaje kura ambazo zimebandikwa nje ya kila kituo! makengeza ya akili ni kilema cha kudumu nilitegemea ukawa mngepita kila kituo tena nchi nzima kukariri zile kura ili mfunge midomo ila kwakuwa mnakurupuka mnatafta wa kumpa mizigo yenu hadi leo hamtaji jimbo mliloibiwa mnaropoka tu. nilikuwa siamini kama kuna dumb mob psychology no offense but u guys need to grow up and build tanzania
Kibabu na wote walioshiirikiana kupoka haki ya wananchi watakufa vifo vya aibu kibabu kitasingizia kila aina ya visingizio lakini laana ya dhuluma itamwandama
 
Hakuna dhambi yeyote ni maamuzi ya watanzania wakiwawepo wana ukawa walioamua kuwa ikulu haiwezi juwa pango l walowezi
huyo mlanguzi aliyetangulizwa hapo ikulu atafanya nini cha zaidi zaidi ya kuwa kwenye mfumo ule ule w ujambawazi embu kwanza arudishe ten percent alizokuwa anapata kwa wakandarasi
 
Nilivyoona wakili wao ni kibatala basi hao jamaa wameangushiwa jumba bovu.
 
sasa october 23 uchaguzi mbona ulikua bado??? au walijua lubuva atafanya kanyanga????
 
Magufuli mwenyewe anajua alipachikwa ndio maana kaingia na maigizo kibao

Ninyi ndio tutwaacha nyuma baadae mje kulialia sis mwendo mdundo kwani sasa ni KAZI TUUU!
 
Tatizo ulilokuwa nalo ni kuishi kwa akili za kushikiwa. Uicho tuletea hapa ni jinsi gazeti la habari leo lilivyoripoti kutoka mahakamani, zaidi ya hapo, sijaona ulichotaka kutuambia juu ya tuhuma hizo, kwamba ama wamesingiziwa au kuna element za ukweli katika tuhuma hizo. Zaidi nilichokionana, ni kutumia habari ya habari leo kama mahali pa kuanzia ili uanze kutuaminisha unachotaka wewe.

Wenye ukawa wameishakaa, wenye viherehere ndio waliobaki hasa huku kwenye mitandao. Nina imani hata hao akina mbowe, lowassa na mbatia walikuwa wameisoma namba zamani sana na ndio maana huwasikii wakiongelea hekaya zenu. Muda wa kuwarudisha watz kwenye jambo la matokeo umeisha. JPM kasema hivi, kila mmoja kwa nafasi yake afanye kazi, enzi za blabla zimekwisha. FANYA KAZI

Wewe unafanya kazi gani? Lubava is a thief!
 
Ninyi ndio tutwaacha nyuma baadae mje kulialia sis mwendo mdundo kwani sasa ni KAZI TUUU!
kwi kwi munacheza makirikili munaita kazi tu slogan imekufa kabla haijaafanya kazi mwezi unaisha hata ajira moja hamjaongeza mmbo ya kupachikwa munashindwa muanzie wapi
 
Back
Top Bottom