blackpepper
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 381
- 16
huyu nabii amesahau ...."ya kaisari mpe kaisari"
thibitisha hilo la uhalali....Mungu naye anataka tutii mamlaka halali za hapa duniani..... Mahakama ya Tanzania ni mamlaka halali na ilitoa amri halali kabisa.
kuchagua wa kumtii ni jambo la muhimu kwa mtu anayejitambua na kuwa na akili timamu, huwezi ukawa unatii kila kitu, we labda uwe mlevi anayeamua kutukana kila mtu au kusalimia kila mtu, iweje ufundishwe namna ya kuutumia utii? usipochagua pa kupeleka utii wako, utawatii hata wachawi, walawiti, wafiraji, na waongo, harafu unategemea nini ukiwatii watu hao? Mahama za Tanzania nyingi zimekuwa hazitendi haki, kama hazitendi haki maana yake zinaongozwa kishetani, Kwa sababu Mungu ni wa haki hivyo hazikutoka kwake, kwa hiyo kuzipuuza ni kumpuza shetani nba mahakama zake
pengine wewe umeanza leo kutuma post juu ya swala hili, binafsi sijatetea kwa kile alichokifanya, kwanza uelewe hilo, as a human being he have the so called weckness sasa ninachojaribu mimi kukitetea ni kwale wanaojaribu kuihusisha Biblia na udhaifu wa mtu, nje ya utumishi Mwingira ni mtu wa kawaida tu awezaye kukosea kama mtu mwingine, tatizo nililoliona tangu Thread hii imetumwa wapo walioweza kuona kama kwamba kwa kufanya hivyo Mwingira basi kaagizwa na maandiko sijui kama hupo hapo ....Argument zako zinakinzana sana ndugu yangu.......
Mtumishi wa Mungu amekosea kuidharau amri ya mahakama. yeye mwenyewe hajatenda haki kwa kuchukua sheria mkononi wakati kesi iko mahakamani bado. Unajua mpendwa unachukulia hili suala kiimani zaidi bila kufuata ukweli ulivyo.
Wewe kwa imani yako unaonekana huamini kama "MTUME NA NABII" kama anavyojiita hawezi kukosea,yuko right all the time. Mahakama ina nguvu zake bwana,serikali imepewa pia mamlaka na Mungu.
thibitisha hilo la uhalali....
Hey,ndugu yangu mbona unanitusi bure?unajua maana ya unafiki?mimi nilichosema ni kwamba kama kiongozi wa dini anatakiwa kuwa mfano..Kuupuza mahakama sio mafano mzuri hata kama angekuwa na sababu za muhimu.Biblia iansema tuheshimu mamlaka zilizowekwa....acha hasira ndugu yangu,jenga hoja.Pole kama nimekuudhi sio lemgo langu..
kwishnei!!!!sasa tupeni update Je Nabii Mwingira amekamatwa Tayari?
MIMI namuamini sana Mwingira mapambano yakudai haki, huyu si kama Wale Waanglicana wa Ilala walioporwa ardhi yao na mwarabu wa mafuta pale buguruni.
Mahakama ilitoa amri kuwa kitu chochote kisiendelee mpaka uamuzi utakapotoka. Uamuzi ungeweza kuwa positive kwa Mwingira kama kweli ana haki na hilo eneo. Haki inaweza ikawa yako lakini kwa papara na kutotulia unaikosa (Kumbuka suala la Esau na Yakobo wana wa Isaka).
Mungu ndiye anayeipa nguvu dola (Kumbuka wana wa Israel walimuomba Mungu awape mfalme).
Ngoja tusubiri tuone nini kinatokea na nani kakosea kati ya mahakama na mtumishi huyo wa Mungu.
Kwa hiyo unamaanisha kila mtu afanye anavyoona sawa?????? [Anarchy]mahakama inajishushia hadhi yenyewe, ikipuuzwa na serikali inilmaba miguu, watu binafsi ndio nasikia amri ya kukamatwa inatolewa. kama inataka kuheshimiwa ithibitishe kwanza kwa matendo yake, itoe haki kwa watu masikini, sio ikubali kutumiwa kuwatupa magerezani............
I doubt if he is the one. May God have mercy on you for posting something you are not even sure ofHivi ili sndilo lile Kanisa la Mashoga au nijingine? na sindiye yule mchungaji millionair anaewavuna kondoo wake ambae pia ni shoga?
Hivi ili sndilo lile Kanisa la Mashoga au nijingine? na sindiye yule mchungaji millionair anaewavuna kondoo wake ambae pia ni shoga?