Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,702
- 26,223
Acha ulofa wewe. Ona kwanza, lijanamke lizima linaongea mambo ya kipuuziii; mxscheew!Nchi ina mambo ya kis. Nge hii,, kwan hao kangomba si watanzania wenzetu,na wananunua kihalali toka kwa wakulima,, AU kuna mkulima amelalamika kuwa ameibiwa,, yaani Magufuri hataki wananchi Wake wanunue mazao ya wakulima na wao wakauze wapate faida mbili tatu za kula na familia Zao...sijui anataka watu wafanye shuhuri gani huyu Baba,, sasa unataifisha mali ya mtu ambayo ni halali sio bange wala drugs, wala bunduki, miaka yote hao kangomba wananunua korosho na wala kulikuwa hamna malalamiko yoyote toka popote,
AU mwaka juzi wakulimA walivyouza korosho had kilo moja Kwa tsh 4000/= kangomba hawakuwepo??
Yaani Kama M/mungu hajamuadhibu huyu Baba hadi kwisha awamu yake au mwisho wa mwaka huu juu ya dhuluma aliyoifanya na washirika Wake,, ntaamini Kweli Mungu yupo pamoja nawafanyao dhuluma,
Kitoto kijinga sana weweAcha ulofa wewe. Ona kwanza, lijanamke lizima linaongea mambo ya kipuuziii; mxscheew!
Nenda kalale.Kitoto kijinga sana wewe
Astaghafilullah !Hali ni mbaya. Wakati Malipo ya korosho hakuna kinachoeleweka mpaka sasa viongozi wa vyama vya ushirika wanapigwa ili wataje majina ya Kangomba. Wanakamatwa, wanafungwa kisha wanapigwa na wanapewa vikaratasi ili kila kiongozi analazimishwa aandike majina matano au zaidi ya kangomba. Sikiliza audio hapo chini
ahahah,, umeacha kudanga sikuiz shoga,, ndiomaanaa umeachwa sababu ya kukojoa kitandaniAcha ulofa wewe. Ona kwanza, lijanamke lizima linaongea mambo ya kipuuziii; mxscheew!
Mkuu umekuwa kimya sana! What happened? Nakumbuka uliwakilisha gesi ya Mtwara humu!😀It's obvious that hawana pesa na hawakujiandaa kuwapora wafanyabiashara deal Hilo la Korosho...wanachokifanya Sasa NI kuwadhulumu tuu wakulima...aliambiwa jiwe lakin na wabunge wa KUSINI akawaletea kiburi...anavuna Sasa jeuri yake
Hebu jisikilize ujinga wako kwanza.ahahah,, umeacha kudanga sikuiz shoga,, ndiomaanaa umeachwa sababu ya kukojoa kitandani
Hahaha! Imekuzidi umri licha ya Uwezo. Jimama kama unavoliita limekuzidi nywele za kichwani.Acha ulofa wewe. Ona kwanza, lijanamke lizima linaongea mambo ya kipuuziii; mxscheew!
Labda nywele za chini....Jimama kama unavoliita limekuzidi nywele za kichwani...
Hali ni mbaya. Wakati Malipo ya korosho hakuna kinachoeleweka mpaka sasa viongozi wa vyama vya ushirika wanapigwa ili wataje majina ya Kangomba. Wanakamatwa, wanafungwa kisha wanapigwa na wanapewa vikaratasi ili kila kiongozi analazimishwa aandike majina matano au zaidi ya kangomba. Sikiliza audio hapo chini
Za chini hazitumiki kufikiria jambo kikamilifu. Alizokuzidi za kichwani. The teh teh!Labda nywele za chini.
Mbona anatumia za chini sasa?Za chini hazitumiki kufikiria jambo kikamilifu...
Jibu hoja acha matusiAcha ulofa wewe. Ona kwanza, lijanamke lizima linaongea mambo ya kipuuziii; mxscheew!
Matusi gani?
Nchi ina mambo ya kis. Nge hii,, kwan hao kangomba si watanzania wenzetu,na wananunua kihalali toka kwa wakulima,, AU kuna mkulima amelalamika kuwa ameibiwa,, yaani Magufuri hataki wananchi Wake wanunue mazao ya wakulima na wao wakauze wapate faida mbili tatu za kula na familia Zao...sijui anataka watu wafanye shuhuri gani huyu Baba,, sasa unataifisha mali ya mtu ambayo ni halali sio bange wala drugs, wala bunduki, miaka yote hao kangomba wananunua korosho na wala kulikuwa hamna malalamiko yoyote toka popote,
AU mwaka juzi wakulimA walivyouza korosho had kilo moja Kwa tsh 4000/= kangomba hawakuwepo??
Yaani Kama M/mungu hajamuadhibu huyu Baba hadi kwisha awamu yake au mwisho wa mwaka huu juu ya dhuluma aliyoifanya na washirika Wake,, ntaamini Kweli Mungu yupo pamoja nawafanyao dhuluma,
Uko wa mwamwindi mpk leo hawataki ujinga ujinga ...Mwamwindi alimpelekea Moto RC Dr Kleruu kwa ujinga ujinga Kama huo
Alipofikishwa Mahakamani Mara zote alikiri Na mpaka anatembelewa Na Mtoto wake hakuonekana kujutia kile Kitendo