Korosho: Viongozi vyama vya ushirika wanapigwa ili wataje kangomba

Nchi ina mambo ya kis. Nge hii,, kwan hao kangomba si watanzania wenzetu,na wananunua kihalali toka kwa wakulima,, AU kuna mkulima amelalamika kuwa ameibiwa,, yaani Magufuri hataki wananchi Wake wanunue mazao ya wakulima na wao wakauze wapate faida mbili tatu za kula na familia Zao...sijui anataka watu wafanye shuhuri gani huyu Baba,, sasa unataifisha mali ya mtu ambayo ni halali sio bange wala drugs, wala bunduki, miaka yote hao kangomba wananunua korosho na wala kulikuwa hamna malalamiko yoyote toka popote,

AU mwaka juzi wakulimA walivyouza korosho had kilo moja Kwa tsh 4000/= kangomba hawakuwepo??


Yaani Kama M/mungu hajamuadhibu huyu Baba hadi kwisha awamu yake au mwisho wa mwaka huu juu ya dhuluma aliyoifanya na washirika Wake,, ntaamini Kweli Mungu yupo pamoja nawafanyao dhuluma,
Acha ulofa wewe. Ona kwanza, lijanamke lizima linaongea mambo ya kipuuziii; mxscheew!
 
Hali ni mbaya. Wakati Malipo ya korosho hakuna kinachoeleweka mpaka sasa viongozi wa vyama vya ushirika wanapigwa ili wataje majina ya Kangomba. Wanakamatwa, wanafungwa kisha wanapigwa na wanapewa vikaratasi ili kila kiongozi analazimishwa aandike majina matano au zaidi ya kangomba. Sikiliza audio hapo chini
Astaghafilullah !
 
It's obvious that hawana pesa na hawakujiandaa kuwapora wafanyabiashara deal Hilo la Korosho...wanachokifanya Sasa NI kuwadhulumu tuu wakulima...aliambiwa jiwe lakin na wabunge wa KUSINI akawaletea kiburi...anavuna Sasa jeuri yake
Mkuu umekuwa kimya sana! What happened? Nakumbuka uliwakilisha gesi ya Mtwara humu!😀
 
Hali ni mbaya. Wakati Malipo ya korosho hakuna kinachoeleweka mpaka sasa viongozi wa vyama vya ushirika wanapigwa ili wataje majina ya Kangomba. Wanakamatwa, wanafungwa kisha wanapigwa na wanapewa vikaratasi ili kila kiongozi analazimishwa aandike majina matano au zaidi ya kangomba. Sikiliza audio hapo chini

Hii habari ni uongo na uzushi mkubwa
 
Nchi ina mambo ya kis. Nge hii,, kwan hao kangomba si watanzania wenzetu,na wananunua kihalali toka kwa wakulima,, AU kuna mkulima amelalamika kuwa ameibiwa,, yaani Magufuri hataki wananchi Wake wanunue mazao ya wakulima na wao wakauze wapate faida mbili tatu za kula na familia Zao...sijui anataka watu wafanye shuhuri gani huyu Baba,, sasa unataifisha mali ya mtu ambayo ni halali sio bange wala drugs, wala bunduki, miaka yote hao kangomba wananunua korosho na wala kulikuwa hamna malalamiko yoyote toka popote,

AU mwaka juzi wakulimA walivyouza korosho had kilo moja Kwa tsh 4000/= kangomba hawakuwepo??


Yaani Kama M/mungu hajamuadhibu huyu Baba hadi kwisha awamu yake au mwisho wa mwaka huu juu ya dhuluma aliyoifanya na washirika Wake,, ntaamini Kweli Mungu yupo pamoja nawafanyao dhuluma,

NI dhuluma tuh...miaka yoote kangomba ipo na NI Jambo la kawaida huku KUSINI
Hata iyo mwaka Jana watu walivyonufaika na mauzo hayo kangomba pia ilikuwapo na hatujaskia Wala kuona complains zozote

Kinachoendelea NI siasa za kifala Sana kwenye hili zao la Korosho
Hawana pesa wanaleta visingizio visivyo na msingi wowote
 
Mwamwindi alimpelekea Moto RC Dr Kleruu kwa ujinga ujinga Kama huo

Alipofikishwa Mahakamani Mara zote alikiri Na mpaka anatembelewa Na Mtoto wake hakuonekana kujutia kile Kitendo
Uko wa mwamwindi mpk leo hawataki ujinga ujinga ...
Mkuu kna watu wanaudhi wanaweza kukufanya ukachukua uamuzi mmbaya

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom