Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 25,037
- 60,222
Vipi UN imeshindwa kuingilia kati,watu wa haki za binadamu?jamani wananchi huko wapo jela,siku wakijua kiachoondelea huko duniani lazima watakuja juu tuMtasikiliza redio na tv za ndani kwao tu, mitandao imekatwa huwezi kupata mitandao kama unavyojiachia sasa