Korea Kaskazini kuipatia silaha Iran na Hamas

Korea Kaskazini kuipatia silaha Iran na Hamas

Kamba naweza weka video za live zaidi ya 30 walikufa, yani Magari na ma vifaru yanavyolipuliwa kila masaa kadhaa eti 30 hawajafa, kweli we Mahaba Niue.

IDF wenyewe wanasema 333 wameshakufa so Far ila wewe Chawa unahisi hata 30 hawajafika, Endelea kudanganya.
Mkuu acha propaganda ebu tuleetee na idadi ya askari wa hamas waliokufa.
Waisrael wamekufa 333 na Hamas wamekufa wangapi mkuu???.
Au hujui??
 
Ni kifaru gani kinabeba watu 15? Hilo limekuwa Fuso sasa.
Namer IFV ndio ilibeba wanajeshi 11 na sio 15, na nimeitaja. Ni hiyo tu sijaona IFV nyingine wala tank.

Alafu Gaza itazingirwa nzima kasoro Rafar closing, pale Rafar silaha haziwezi pita Misri haiwezi ruhusu maana zikipita Israel itashambulia na kuzuia misaada kabisa. Gaza city imezingirwa jana huo msaada wa silaha unaosubiriwa unaweza kosa pa kupita. Na Hamas silaha wakikuwa nazo nyingi sana haiwezekani wameanza vita mwezi haujaisha tiyari wanasubiri msaada na wakati maroketi yenyewe waliyofyatua ni around 8,000.
Subiri uone kama hawafii kwenye hayo maandaki.

Mpaka jana Hezbollah imetangaza kupoteza wapiganaji 50. Tusubiri Nasrallah anasemaje leo
Kuna vifaru na magari yanayobeba askari, mfano video hii Inaonesha Magari yanayobeba askari moja likitunguliwa. Hilo ni panther linabeba Askari 14,
 
Kamba naweza weka video za live zaidi ya 30 walikufa, yani Magari na ma vifaru yanavyolipuliwa kila masaa kadhaa eti 30 hawajafa, kweli we Mahaba Niue.

IDF wenyewe wanasema 333 wameshakufa so Far ila wewe Chawa unahisi hata 30 hawajafika, Endelea kudanganya.
Israeli Army:

There are 241 soldiers in captivity in Gaza, a number that can change every day.
IMG_20231103_124230.jpg
 
Hamas:

Our fighters ambushed an Israeli force northwest of Beit Lahia and killed four soldiers at point-blank range.
 
Kamba naweza weka video za live zaidi ya 30 walikufa, yani Magari na ma vifaru yanavyolipuliwa kila masaa kadhaa eti 30 hawajafa, kweli we Mahaba Niue.

IDF wenyewe wanasema 333 wameshakufa so Far ila wewe Chawa unahisi hata 30 hawajafika, Endelea kudanganya.
Weka report ya IDF inayosema kwenye ground operation imepoteza wanajeshi 333.
Mpaka kuamkia leo IDF ilikuwa imetangaza vifo 27.

Au ukute nabishana na mtu asiyejua maana ya ground operation ya Gaza. Na hajui imeanza lini.
 
Iraqi Resistance forces have launched an attack targeting an Israeli site close to the Dead Sea.

This is the first time an Israeli oil facility has been attacked
IMG_20231103_124819.jpg
 
Kwa sasa ni vigumu kuleta silaha Hamas. Kama hizo walizonazo matumizi yenyewe ndio ya hivi basi tusahau kuhusu resistance yao, haina ukubwa kivile.
Wakusubiriwa ni Hezbollah ambao vita hawajatangaza rasmi ila Israel imeua wapiganaji wake 53 mpaka leo hii. Na wengine kina Islamic Jihad na makundi mengine, pale Syria kuna maelfu ya wapiganaji wanajikusanya.

Gaza city pekee ndio imezingirwa na ndio ina miundombinu nyingi za Hamas. Bado vipande vingine vinne hivi vya Gaza strip. Kwenye operation hii Israel imepoteza wanajeshi 23 mpaka leo
Nimesha kwambia ya kuwa hamas anakwepa kupigana uso kwa uso na wanajeshi wa Israel kwa sababu hana silaha wala wapiganaji wa kutosha kipigana ana kwa ana na vikosi vya Israel vyenye kila aina ya mashine za kivita na ndio maana vifo ni vichache kwa pande zote.

Wakifanya hivyo wataangamizwa mapema sana na ndio maana hamas anakaribisha vita mjini ,kwa sababu mjini hasa sehemu yenye msongamano wa majengo kama gaza kuna baadhi ya mashine nzito haziwezi kuingia mjini hivyo kuwapa unafuu hamas kupambana na Israel uso kwa uso hasa kwa kutumia silaha nyepesi.

Mpaka sasa Israel na Hamas hawajapigana vita ya uso kwa uso na ndio maana mpaka sasa matumizi ya bunduki ni machache kwa pande zote kinacho tumika sana kwa sasa ni mizinga na vifaru.

Vifo vingi kwa pande zote vitaanza baada ya Israel kuingia katikati ya mji na mapigano ya mataa kwa mtaa yatakapo anza.
 
Kuna vifaru na magari yanayobeba askari, mfano video hii Inaonesha Magari yanayobeba askari moja likitunguliwa. Hilo ni panther linabeba Askari 14,
View attachment 2802349
Sasa mtu anatoaje report alafu anachanganya main battle tank, infantry fighting vehicle na armoured personnel carrier.
Hiyo Panther ni APC yenye nafasi ya kutosha ndani, inaweza beba hadi wanajeshi 14 au ikabeba supplies. Wanajeshi kule Gaza wanahitaji vyakula na maji, madawa, ammunition na mengine.
 
Weka report ya IDF inayosema kwenye ground operation imepoteza wanajeshi 333.
Mpaka kuamkia leo IDF ilikuwa imetangaza vifo 27.

Au ukute nabishana na mtu asiyejua maana ya ground operation ya Gaza. Na hajui imeanza lini.
Nadhani yy ameshindwa kutofautisha vifo vilivyo tokea tangu kuanza kwa vita na vifo vilivyo tokea tangu Israel aingie gaza.
 
Weka report ya IDF inayosema kwenye ground operation imepoteza wanajeshi 333.
Mpaka kuamkia leo IDF ilikuwa imetangaza vifo 27.

Au ukute nabishana na mtu asiyejua maana ya ground operation ya Gaza. Na hajui imeanza lini.
Nimekuekea Video moja Panther ililiwa Atleast 14, kuna video zinaonesha si Chini ya vifaru 10 vikilipuliwa, kuna video zinaonesha drone zikidondosha mabomu kwenye umati wa askari wa Israel wengine wanakimbia wengine wanadondoka, kuna video inaonesha rocket inapiga kikosi kizima (ambao idf wenyewe wamekiri wakufa kwenye mapigano makali) lakini Hamas wakarelease video ni askari watatu tu waliangamiza hicho kikosi. Ushahidi Wa video live kila mtu Anaona baadhi hizi.

Hapo kifaru kimetegewa bomu la Ardhini.

Nakuekea nyengine Ya drone MDa si mrefu
 
Sasa mtu anatoaje report alafu anachanganya main battle tank, infantry fighting vehicle na armoured personnel carrier.
Hiyo Panther ni APC yenye nafasi ya kutosha ndani, inaweza beba hadi wanajeshi 14 au ikabeba supplies. Wanajeshi kule Gaza wanahitaji vyakula na maji, madawa, ammunition na mengine.
Mwisho mtasema IDF walipeleka Robot hajakufa Hata mmoja. Hicho kiberenge kimepigwa mwanzo kabisa wakati wa ajaribu Ground invasion then wakaretreat. Israel noma anapeleka kwanza maji vyakula na Dawa kisha wanapeleka wanajeshi
 
Hio ni message kwa Israel, sio kila siku utatesa, kuua na kudhulumu watu, kuna kipindi asili ya mwanadamu yeyote ile akichoka haijalishi una nguvu kiasi gani lazima atafanya namna akufurahishe.

Israel haikutegemea kama ingekutana na upinzani wa kiwango hiki tena kutoka kwa Hamas, casualties walizokutana nazo Israel inatisha, mauaji ya askari inatisha.
 
Nimekuekea Video moja Panther ililiwa Atleast 14, kuna video zinaonesha si Chini ya vifaru 10 vikilipuliwa, kuna video zinaonesha drone zikidondosha mabomu kwenye umati wa askari wa Israel wengine wanakimbia wengine wanadondoka, kuna video inaonesha rocket inapiga kikosi kizima (ambao idf wenyewe wamekiri wakufa kwenye mapigano makali) lakini Hamas wakarelease video ni askari watatu tu waliangamiza hicho kikosi. Ushahidi Wa video live kila mtu Anaona baadhi hizi.
View attachment 2802361
Hapo kifaru kimetegewa bomu la Ardhini.

Nakuekea nyengine Ya drone MDa si mrefu
We ukiona mlipuko tiyari unatafuta hicho kifaa kinaweza beba watu wangapi tiyari unajumlisha idadi hiyo kama vifo. Basi likidondoka badala uhesabu waliofariki unatafuta idadi unayoweza kubebwa na basi tiyari unatangaza watu 65 wamekufa, kumbe basi lilibeba dereva na konda na wamejeruhiwa.

Hiyo video sio kifaru, ni armoured bulldozer ambalo linafanya clearance ya njia kuondoa landmines, vizuri na vifusi vya majengo yaliyoporomoka. Kulipukiwa na landmines ni kazi yake. Ndio maana wameyatanguliza, na sio kila armour ikiwa immobilized na landmine unamaanisha watu wamekufa. Ni kutoa wheels au kufanya repair kazi inaendelea, au ikiharibika sana inakuwa written off.
Nimekosa video ya angle nyingine nikiipata naileta.

Video hii hapa, armoured bulldozer imekanyaga landmine na hakuna kilichotokea
 

Attachments

  • 4CtbttiAH2Jt01AN.mp4
    344.2 KB
Weka report ya IDF inayosema kwenye ground operation imepoteza wanajeshi 333.
Mpaka kuamkia leo IDF ilikuwa imetangaza vifo 27.

Au ukute nabishana na mtu asiyejua maana ya ground operation ya Gaza. Na hajui imeanza lini.


Kundi la wanajeshi wa IDF wamejikusanya wanadondoshewa drone toka juu
 
We ukiona mlipuko tiyari unatafuta hicho kifaa kinaweza beba watu wangapi tiyari unajumlisha idadi hiyo kama vifo. Basi likidondoka badala uhesabu waliofariki unatafuta idadi unayoweza kubebwa na basi tiyari unatangaza watu 65 wamekufa, kumbe basi lilibeba dereva na konda na wamejeruhiwa.

Hiyo video sio kifaru, ni armoured bulldozer ambalo linafanya clearance ya njia kuondoa landmines, vizuri na vifusi vya majengo yaliyoporomoka. Kulipukiwa na landmines ni kazi yake. Ndio maana wameyatanguliza, na sio kila armour ikiwa immobilized na landmine unamaanisha watu wamekufa. Ni kutoa wheels au kufanya repair kazi inaendelea, au ikiharibika sana inakuwa written off.
Nimekosa video ya angle nyingine nikiipata naileta.

Video hii hapa, armoured bulldozer imekanyaga landmine na hakuna kilichotokea
Lete proof video niliyo weka ni hiko kifaa unachosema,
 
Mwisho mtasema IDF walipeleka Robot hajakufa Hata mmoja. Hicho kiberenge kimepigwa mwanzo kabisa wakati wa ajaribu Ground invasion then wakaretreat. Israel noma anapeleka kwanza maji vyakula na Dawa kisha wanapeleka wanajeshi
Gaza city imezingirwa we unasema Israel wameretreat. Au siku hizi watu huwa wanaretreat kwa kwenda mbele.

Subiri cleaning iishe wajaze troops na walete artillery pieces ndio mtajua nini maana ya vita. Kila eneo litakuwa within range ya artillery, kwa sasa mnapigwa na airstrikes zaidi.
 
Back
Top Bottom