Mzee Ngonyani
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 1,400
- 2,736
Kwa akili zako,mgambo wanaweza pigana JWTZ, ACHA ushabiki wa kipuuzi, harafu Kwa miaka 16 wamezingirwa Leo ,upigane na mrekani na ulaya magharibi utaweza. Wanachofanya nikuonesha dunia kuwa Kuna mgogoro na unevu unaofanywa na wazungu wakuitwa wayahudi.Kuna makamanda waandamizi wengi wa Hamas wameuwawa. Akiwemo kamanda aliyeendesha mashambulizi ya tarehe 7 na kamanda wa kikosi cha anti tank missiles.
Gaza city imezingirwa leo. Sikutarajia upinzani mwepesi hivi hadi sasa Israel haijapoteza hata wanajeshi 30 kwenye hii ground offensive. Wamepoteza Namer heavy IFV moja ila sijaona wanapoteza kifaru chochote pamoja na anti tank missiles zote walizonazo Hamas.
Huu ni upinzani mdogo sana wale wapiganaji 25,000 tulioambiwa wa Hamas mbona hatuwaoni. Na maelfu ya maroketi wanayorusha yanapenya machache sana. Hamas walijichanganya ngoja tusubiri Hezbollah na makundi mengine