snowhite JF-Expert Member Aug 2, 2012 17,710 23,646 Apr 11, 2013 #1 cc watu8, BadiliTabia DARKCITY Kongosho et al Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,985 93,998 Apr 11, 2013 #2 eti Kongosho kwani hicho kidani cha mheshimiwa Zombi ni shiringi ngapi??? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
snowhite JF-Expert Member Aug 2, 2012 17,710 23,646 Apr 11, 2013 Thread starter #3 watu8 said: eti Kongosho kwani hicho kidani cha mheshimiwa Zombi ni shiringi ngapi??? Click to expand... mi niuliziage hilo shati tu!nataka kumnunulia Boflo atinge siku ya white party II Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
watu8 said: eti Kongosho kwani hicho kidani cha mheshimiwa Zombi ni shiringi ngapi??? Click to expand... mi niuliziage hilo shati tu!nataka kumnunulia Boflo atinge siku ya white party II
kashesho JF-Expert Member Oct 19, 2012 4,976 2,465 Apr 11, 2013 #4 bwana harusi kavaa kigauni kwa juu
snowhite JF-Expert Member Aug 2, 2012 17,710 23,646 Apr 11, 2013 Thread starter #5 kashesho said: bwana harusi kavaa kigauni kwa juu Click to expand... Shhhhhhhhhhhh usiseme kigauni wewe bana! unamjua Kongosho unamskia!? ngoja aje! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
kashesho said: bwana harusi kavaa kigauni kwa juu Click to expand... Shhhhhhhhhhhh usiseme kigauni wewe bana! unamjua Kongosho unamskia!? ngoja aje!
kashesho JF-Expert Member Oct 19, 2012 4,976 2,465 Apr 11, 2013 #6 snowhite said: Shhhhhhhhhhhh usiseme kigauni wewe bana! unamjua Kongosho unamskia!? ngoja aje! Click to expand... ha ha ha basi kavaa blauzi
snowhite said: Shhhhhhhhhhhh usiseme kigauni wewe bana! unamjua Kongosho unamskia!? ngoja aje! Click to expand... ha ha ha basi kavaa blauzi
snowhite JF-Expert Member Aug 2, 2012 17,710 23,646 Apr 11, 2013 Thread starter #7 kashesho said: ha ha ha basi kavaa blauzi Click to expand... mamaaaaaaaa af wewe unajua Kongosho yupo next door tu hapo! nimekutana nae sehemu nikakimbiaje!sasa ngoja akukute!mi simooooO! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
kashesho said: ha ha ha basi kavaa blauzi Click to expand... mamaaaaaaaa af wewe unajua Kongosho yupo next door tu hapo! nimekutana nae sehemu nikakimbiaje!sasa ngoja akukute!mi simooooO!
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,175 Apr 11, 2013 #8 Jamani nimempenda mwenyewe CHeck alivyo hendisamu Hapo alikuwa kanuna sababu jua linamuunguzia bride wake lol
Jamani nimempenda mwenyewe CHeck alivyo hendisamu Hapo alikuwa kanuna sababu jua linamuunguzia bride wake lol
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,175 Apr 11, 2013 #9 Kwani wewe umekuwa Joan Rivers?? Unajua fashion? kashesho said: ha ha ha basi kavaa blauzi Click to expand...
Kwani wewe umekuwa Joan Rivers?? Unajua fashion? kashesho said: ha ha ha basi kavaa blauzi Click to expand...
snowhite JF-Expert Member Aug 2, 2012 17,710 23,646 Apr 11, 2013 Thread starter #10 Kongosho said: Jamani nimempenda mwenyewe CHeck alivyo hendisamu Hapo alikuwa kanuna sababu jua linamuunguzia bride wake lol Click to expand... sawa hatujakataa wala kubisha! ila saaaaasa ndo ukaona umchagulie hilo shati na kaua ka shifoni juuu!?? NAULIZA TU!
Kongosho said: Jamani nimempenda mwenyewe CHeck alivyo hendisamu Hapo alikuwa kanuna sababu jua linamuunguzia bride wake lol Click to expand... sawa hatujakataa wala kubisha! ila saaaaasa ndo ukaona umchagulie hilo shati na kaua ka shifoni juuu!?? NAULIZA TU!
snowhite JF-Expert Member Aug 2, 2012 17,710 23,646 Apr 11, 2013 Thread starter #11 Kongosho said: Kwani wewe umekuwa Joan Rivers?? Unajua fashion? Click to expand... hajui huyu,azijulie wapi!??? wakati we ndo mkareeee mwenyewe!:yo:
Kongosho said: Kwani wewe umekuwa Joan Rivers?? Unajua fashion? Click to expand... hajui huyu,azijulie wapi!??? wakati we ndo mkareeee mwenyewe!:yo:
M Mr Rocky JF-Expert Member Oct 10, 2007 15,178 14,351 Apr 11, 2013 #12 snowhite ushawahi kupigwa ngumi za uso Si unamuona Kongosho alivyopendeza sasa wewe huyo ubavu wake unaangalia fashion za nini bana Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
snowhite ushawahi kupigwa ngumi za uso Si unamuona Kongosho alivyopendeza sasa wewe huyo ubavu wake unaangalia fashion za nini bana
snowhite JF-Expert Member Aug 2, 2012 17,710 23,646 Apr 11, 2013 Thread starter #13 Mr Rocky said: snowhite ushawahi kupigwa ngumi za uso Si unamuona Kongosho alivyopendeza sasa wewe huyo ubavu wake unaangalia fashion za nini bana Click to expand... umeanza lini kunipikia jungu my dear! liiiiini na leo ikawa ya pili! nikinuna mimi nuno langu si kwa vogue wala murano linakuwa tabasamu!
Mr Rocky said: snowhite ushawahi kupigwa ngumi za uso Si unamuona Kongosho alivyopendeza sasa wewe huyo ubavu wake unaangalia fashion za nini bana Click to expand... umeanza lini kunipikia jungu my dear! liiiiini na leo ikawa ya pili! nikinuna mimi nuno langu si kwa vogue wala murano linakuwa tabasamu!
D Dina JF-Expert Member Sep 18, 2008 3,190 1,728 Apr 11, 2013 #14 Mmh jamani?! Mwanaume na kibwaya tena!
M Mr Rocky JF-Expert Member Oct 10, 2007 15,178 14,351 Apr 11, 2013 #15 snowhite nimeguna kwa sauti huyo aliyemshauri huyo jamaa kuvaa hilo sijui shati sijui kiblauzi dah alichemsha mbaya kabisa Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
snowhite nimeguna kwa sauti huyo aliyemshauri huyo jamaa kuvaa hilo sijui shati sijui kiblauzi dah alichemsha mbaya kabisa
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,985 93,998 Apr 11, 2013 #16 Hahahah nadhani kulikuwa na kazi ya kulina asali kama sio kabla basi baada ya harusi snowhite said: mi niuliziage hilo shati tu!nataka kumnunulia Boflo atinge siku ya white party II Click to expand...
Hahahah nadhani kulikuwa na kazi ya kulina asali kama sio kabla basi baada ya harusi snowhite said: mi niuliziage hilo shati tu!nataka kumnunulia Boflo atinge siku ya white party II Click to expand...
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,175 Apr 11, 2013 #17 Wenye wivu wajinyonge mama, wenye wivu wajinyonge....
snowhite JF-Expert Member Aug 2, 2012 17,710 23,646 Apr 11, 2013 Thread starter #18 Kongosho said: Wenye wivu wajinyonge mama, wenye wivu wajinyonge.... Click to expand... TUKUWACHE NA WHITE GROOM wako mwaya!
Kongosho said: Wenye wivu wajinyonge mama, wenye wivu wajinyonge.... Click to expand... TUKUWACHE NA WHITE GROOM wako mwaya!