Hapo sawa...kongosho kapoteaSi ndo hiki sasa au
Au ndo anahudumia ndoa kwanza ili akija awe huru?Kongosho kaenda kuleta kashata ya kushushia gahawa. Msubirini atarudi
Jamani Kongosho kijiwe chetu cha ghahawa kimeishia wapi na je ule mpambano wetu mbona mshindi hakupatikana kulikoni jamani?
Ntakosa mengi kaka,ngoja nikomae,MxNaona sasa umeghairi kuondoka Jf ngoja tumsubiri
Vp leo hamjabahatisha au
Naona anakabana na Kabakabana kwenye thread ile aliyizimikiwa!!!! Akirudi huko atakuwa na furaha kama mashabiki wa Man Utd leo.