Ambokile Amanzi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2018
- 965
- 1,330
- Thread starter
- #61
Ana uchungu wa kukosa udiwani mwaka jana!kafurahi tu kuonyesha chuki zake kwa JPM
huyu mpaka anakufa atakuwa na JPM moyoni
Kilichompata kwenye uchaguzi hana hamu!
Kila akilala anaota mzimu wa magufuli.