Kongole Rais Samia kwa kutumia Kiswahili ziarani nchini Kenya

Tuzungumzie fursa za biashara,,wakulima tuungane kuuza mazao Kenya..
 
..Mfano mzuri wa kuiga ktk masuala ya lugha ni Benjamin Mkapa.

..Mzee yule alikuwa anazitendea haki lugha za Kiswahili na Kiingereza.

..Anayepiga vita Kiingereza anawapotosha Watz. Huenda yeye ameshafikia malengo yake yote ya kikazi na kimaisha.
Pia ni sahihi.
 
Kwa hiyo angeongea kiingereza usinge elewa? mnang'ang'ania kiswahili kama vile kiswahili kina leta maendeleo kumbe ni tabu tupu, Pwani ni maskini pamoja na kiswahili chao.
ungekuwa mzungu sasa
why mama yako kakufundisha kiswahili?🤣🤣🤣
 
Viongozi wanatakiwa wawe na GSH sio kama Mwendazake yeye ni Mahasira hasira Mpaka akawa na ugonjwa wa Moyo

Nileteeni Gwajimaaa!! akawa anafokea Wananchi kumbe anawaambia Wakurugenzi wa Manispaa.
Yani tulikua tunafokewa jamani hadi unajihisi kupata changamoto ya upumuaji
 
..Mfano mzuri wa kuiga ktk masuala ya lugha ni Benjamin Mkapa.

..Mzee yule alikuwa anazitendea haki lugha za Kiswahili na Kiingereza.

..Anayepiga vita Kiingereza anawapotosha Watz. Huenda yeye ameshafikia malengo yake yote ya kikazi na kimaisha.

Mkapa kiingereza alikuwa bora zaidi kuliko kiswahili
 
..Good points.

..Kwanini robo tatu ya wananchi wa Tz hawajui Kiingereza?

..Kwanini tusiazimie kwamba kila Mtz anayemaliza form 4 awe na uwezo wa kuzungumza Kiingereza?

..Jaji Mkuu analalamika kwamba mawakili wetu hawajui Kiingereza. Sasa hawa wataweza kweli ku-negotiate na mabeberu na kulinda rasilimali zetu?

..Lengo ni kumfanya KIJANA wa Kitanzania amudu ushindani ndani na nje ya mipaka ya Tz.
Ni sawa.

Lakini kwa sasa mazingira yakoje?

Unafikiri ingekuwa sawa kwa Samia kutumia kizungu cha kusoma kwenye makaratasi?
 
Unataka tung'ang'anie lugha za mabeberu ili iweje?
Ili zitufikishe mbali kwenye maendeleo, lugha inayovuka mipaka na kukufanya uweze kuwasiliana ukitoka nje ya mipaka ya nchi yako usije ukafa hata kushindwa kuagiza chakula, imagine ukija mjini unajitahidi ujue kiswahili Ili uwasiliane na watu wengi na ndiyo kiingereza kilivyo.
 
Ili zitufikishe mbali kwenye maendeleo, lugha inayovuka mipaka na kukufanya uweze kuwasiliana ukitoka nje ya mipaka ya nchi yako usije ukafa hata kushindwa kuagiza chakula, imagine ukija mjini unajitahidi ujue kiswahili Ili uwasiliane na watu wengi na ndiyo kiingereza kilivyo.
Hivi huwa mnajua kusoma na kuelewa?
 
Back
Top Bottom