Heisenberg
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 1,683
- 2,907
Hawa mabwana miaka iliyopita walikua wanajionyesha wazi wazi kuwa wana mlengo wa dini ya kiislam of which sio kitu kibaya kama ndio lengo lao.
Walikua hawaruahi contents za sikukuu ya krismas vile ipasavyo / kwa ukubwa wa sherehe husika
This time Around naona wameshiriki kikamilifu katika maadhimisho ya sikukuu ya Krismasi ambayo husherehekewa na Wakristo wengi duniani.
Wamekua na matangazo mengi na masherehekeo mengi na hivyo kuonesha mutuality ya hali ya juu sana
Je umeona nini kwa upande wako?