Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,762
- 4,516
Ni Hadi wakiwa nje ya mfumo ndo ujua umuhimu wa katiba. Wakiwa kwenye mvimbio wa kodi zetu huwa vipofu
Wewe unadhani atashibisha tumbo lake vipi, kama ruzuku aliyokuwa akifaidi sasa haipo?Lipumba anaanza tena mambo yake 🤣🤣🤣!!! Hizi siasa za bongo unaweza tamani gharika ipite kianze kizazi kipya cha wanasiasa.
Nani amekwambia inatoshakatiba tuliyo nayo inatosha
Maisha ni kuamua watanzania wameamua kutoka kwenye huu utumwaWatawatimua Kama mbwa......wabongo hizo level bado hatujafika......walishatuharibu kiuzaleneo na upambanaji wa kupigania haki zetu
Aaaah wapi.....ntakutag kwenye huu Uzi itapofika tarehe tajwa.........Maisha ni kuamua watanzania wameamua kutoka kwenye huu utumwa
sema CUF wameamuaMaisha ni kuamua watanzania wameamua kutoka kwenye huu utumwa
😄😄Hakuna kabisaHamna kongamano lolote litalotokea 😁
Mtu mwenye akili timamu huwezi tena kumuamini Lipumba, ni takataka tu inayotafuta njia ya kuendelea kupiga pesa, Cuf haina tena ruzuku, huu ni ubunivu wa kutafuta pesa kwenye ile account yao ya NMB.Uzinduzi wa Kongamano la kuanzisha mchakato wa kudai katiba mpya litafanyika tar 20/12/2020
BBM ndyo nn?Mtu mwenye akili timamu huwezi tena kumuamini Lipumba, ni takataka tu inayotafuta njia ya kuendelea kupiga pesa, Cuf haina tena ruzuku, huu ni ubunivu wa kutafuta pesa kwenye ile account yao ya NMB.
Ni wajinga wenzake tu ndio watakaokubali kutumika na Lipumba kwa maslahi yake binafsi.
Yani sasa hivi ndio nimeelewa kumbe ni bora ile rasimu ya Warioba licha ya kina Samwel Sitta na wajinga wenzake kuinajisi lakini ingepitishwa hivyohivyo leo hii tungekuwa tayari tuna tume huru ya uchaguzi zingesalia hoja chache tungeshinikiza zifanyiwe kazi kama serikali tatu.
Wakenya wenzetu wamepitisha kwanza katiba yao mpya na sasa wanadai BBM.
Na wala si Cuf ni Lipumba, laana ya kuhujumu mabadiriko itamtafuna mpaka kaburini mshenzi kabisa huyu Profesa uchwara.sema CUF wameamua
Mtakuwa wapi nataka kuungana nanyi.Uzinduzi wa Kongamano la kuanzisha mchakato wa kudai katiba mpya litafanyika tar 20/12/2020
Kwani atagombea tena muda wake utakuwa umekwisha!Siku hiyo mtakamatwa wote, dikteta hataki katiba mpya maana itamg'oa
trh ishirini utasikia wanajeshi wanafanya usafi nchi nzima
Kweli mambo yapo mengi hadi CUF wanadai katiba mpya, sijajua kama Jaji Mtungi wamemuhusisha kwenye hili jamboUzinduzi wa Kongamano la kuanzisha mchakato wa kudai katiba mpya litafanyika tar 20/12/2020