Kongamano la Ukombozi la kudai Katiba mpya Tanzania

Dunia yakoo

Senior Member
Nov 23, 2019
139
214
Uzinduzi wa Kongamano la kuanzisha mchakato wa kudai katiba mpya litafanyika tar 20/12/2020

Screenshot_2020-12-02-01-51-14.png
 
Shauri yenu, kuna mtu hapa atakubaliana na vuguvugu halafu katiba ikipita atasema sasa anagombea kwa katiba mpya, anaanza tena moja, amalize mi5 ya kwanza halafu ije ile mingine mi5, tutakoma ubishi. Naomba msiniharibie hesabu, mimi sasa nimeisha anza ku count down, mpaka sasa amebakiza miaka 4 na miezi 11. Niwashauri tu kwamba utawala huu hauwezi kutupa katiba ya wananchi. Vuteni subira aje mtu mwenye utu ndio tutengeneze katiba nyingine, hapa mtachemsha tu!
 
Watawatimua Kama mbwa......wabongo hizo level bado hatujafika......walishatuharibu kiuzaleneo na upambanaji wa kupigania haki zetu
 
Lipumba anaanza tena mambo yake 🤣🤣🤣!!! Hizi siasa za bongo unaweza tamani gharika ipite kianze kizazi kipya cha wanasiasa.
Siasa Wanasiasa bongo na mavyama yao
Watakupasua tu ubongo😂😂😂

Ova
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom