Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
baada ya wewe kuota miwaya mwilini ulitisha wateja na wale wenzako weshakunywa dawa wamepona. Wewe unangoja nini?
baada ya wewe kuota miwaya mwilini ulitisha wateja na wale wenzako weshakunywa dawa wamepona. Wewe unangoja nini?
Duh!!! hii ni assignment kubwa kwa dada yangu Regia, ngoja nimsaidie kuna mbunge tuko safari moja kuja Dodoma gari yetu imepata pancha maeneo ya Kongwa tumeamua kutembea kwa miguu sijui kama tutawahi kongamano nafikiri hata Regia hana taarifa. Freema Agyeman upo hesabu yako inasemaje wamebaki wangapi.Asante sana, na ninashukuru kwa kuwa kwenu wawazi, hamfichi kitu. Tunataka hivyo.
Kuhusu kuwa na jingine, jibu ni ndio, ninalo.
Naomba kujua sababu ziliwafanya wabunge wengine wasihudhurie ukiwataja mmoja mmoja na sababu yake.
ushauri mzuri, lakini kwa CDM hautekelezeki. Kinacho mponza Zitto ndio hicho kinachomfanya Prof Safari usomi wake usionekane. cdm hawaangalii usomi wa mtu, wao wanacho anagalia je mwenzetu?. Mabere Marando baada ya kufika tu cdm kapewa majukumu pamoja na kuwa background yake imejaa utata, lakini kwavile mwenzetu cdm wamemkumbatia. prof Safari yeye pamoja na usomi wake heshima aliyonayo kwa jamii laki anaendelea kusota.Afadhali Mwepesi (Zitto) hajahudhuria maana hakawii kupeleka agenda za mkutano BBC au kwa press. Jamaa kachachuliwa mpaka u-Zitto wake wote umeisha, amekuwa mwepesi mno kisiasa. Na hili ndio tatizo la kutamani madaraka kwa gharama zote. Ili kummaliza huyu sisimizi, CHADEMA anzeni kumpa majukumu Prof. Safari. Kama leo hiyo mada ya katiba mngempa jamaa maana ni lawyer aliyekubuhu. Mpeni kazi alafu tuone Zitto atapata wapi nafasi ya kuingiza hoja za ukabila na udini CHADEMA. <br />
<br />
I am sick and tired of that simpleton who thinks he is all that. What a tool!!!
Ukiwemo wewe na mawaya yako usoni.......wewe mkutano ni mahala sio wahudhuriaji? Ulitaka wakutane CHIMWAGA sio?
Vipi mwenyekiti wa kile chama anayezunguka na ze comedy!! Yaani Mwenyekiti wa Taifa na kundi la wachekeshaji!Mwenyekiti wa taifa, kongamano la area D. Kweli watanzania wana akili sana.
ushauri mzuri, lakini kwa CDM hautekelezeki. Kinacho mponza Zitto ndio hicho kinachomfanya Prof Safari usomi wake usionekane. cdm hawaangalii usomi wa mtu, wao wanacho anagalia je mwenzetu?. Mabere Marando baada ya kufika tu cdm kapewa majukumu pamoja na kuwa background yake imejaa utata, lakini kwavile mwenzetu cdm wamemkumbatia. prof Safari yeye pamoja na usomi wake heshima aliyonayo kwa jamii laki anaendelea kusota.
Kinondoni makaburini
Vipi mwenyekiti wa kile chama anayezunguka na ze comedy!! Yaani Mwenyekiti wa Taifa na kundi la wachekeshaji!
haaa haaa haaaaaaaaaaaaaaaa .... pale mnapofanyia ujasiriamali wenu
Ndio,bwana rijali.
situmii .... haaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Wakuu.Habari za Jumapili.
Leo tena tunaendelea na harakati zetu za kujipenyeza na kuwekeza kwa Vijana wa Vyuo Vikuu.Vijana wa CHADEMA Dodoma wameandaa Kongamano kubwa la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Dodoma mabalo linaendelea hivi sasa katika Ukumbi wa African Dream Area D. Mada Kuu katika Kongamano hili ni Vijana Wasomi na Mustakabali wa Taifa.
Watoa mada ni Wabunge wa CHADEMA wakiongozwa na Kamanda Freeman Mbowe-Kiongozi wa Upinzani Bungeni(KUB).
Ukumbi umeshajaa na hivi sasa tupo tunasikiliza the Best Speech ya Martin Luther King tukiwa tunamsubiri Mgeni rasmi afungue mkutano.
Picha za Matukio mtazipata tukiwa tunaendelea.
Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke.
Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira.
Mr president anayetambuliwa na wananchi wa Tanzania kuwa ndiye alishinda!Dr Slaa siyo mbunge, acha kulitaja bure jina la .....
Mr president anayetambuliwa na wananchi wa Tanzania kuwa ndiye alishinda!
Ushauri mnavyofanya si vibaya, Ila 80% ya watanzania wapiga kura wako vijijini na bado hawajafikiwa na elimu ya Uraia. Ni jukumu la chama cha siasa kuwaeleza vingi si vita. Ni jukumu la chama cha siasa nini maana ya vyama vingi. Ningetegemea DK. Slaa aanze kijiji kwa kijiji kata kwa kata bara na visiwani, bila shaka atayaona matunda yake baada ya miaka miwili tu.
Alishinda nini? Kesi ya wizi wa mke wa watu?
Inzi kufia kwenye kidonda ......