Kongamano la CHADEMA Vyuo Vikuu Dodoma

Just asking, nimemmiss kwenye harakati kama hizi! Mbona mnamjibia sana! Au mnaogopa kuambiwa mwamuonea wivu?

Never mind, CDM ina watu makini kuliko Zitto! We can do without him.

Afadhali Mwepesi (Zitto) hajahudhuria maana hakawii kupeleka agenda za mkutano BBC au kwa press. Jamaa kachachuliwa mpaka u-Zitto wake wote umeisha, amekuwa mwepesi mno kisiasa. Na hili ndio tatizo la kutamani madaraka kwa gharama zote. Ili kummaliza huyu sisimizi, CHADEMA anzeni kumpa majukumu Prof. Safari. Kama leo hiyo mada ya katiba mngempa jamaa maana ni lawyer aliyekubuhu. Mpeni kazi alafu tuone Zitto atapata wapi nafasi ya kuingiza hoja za ukabila na udini CHADEMA.

I am sick and tired of that simpleton who thinks he is all that. What a tool!!!
 
Walianza na ukabila haukulipa wakaja na ukanda haukulipa, wakaleta singo ya udini inachuja, ikaja uhaini na sasa pamoja na kushinda eti kwa kishindo wamevunja secraterieti yao wenyewe jiulize mwanakijiji, kweli walishinda? na kama walidangaya je kwa nini tuyaaamini maadai hayo yote juu CDM?
More update pls>>>>>>>
Jiulize, kama kweli walishinda!!! iweje timu iliyoshinda ivunjwe baada ya miezi michache!!!, kama timu ilifanikisha ushindi kwanini Kikwete asiiache ili wote wafaidi matunda ya ushindi?
 
Wakuu.Habari za Jumapili.

Leo tena tunaendelea na harakati zetu za kujipenyeza na kuwekeza kwa Vijana wa Vyuo Vikuu.Vijana wa CHADEMA Dodoma wameandaa Kongamano kubwa la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Dodoma mabalo linaendelea hivi sasa katika Ukumbi wa African Dream Area D. Mada Kuu katika Kongamano hili ni Vijana Wasomi na Mustakabali wa Taifa.

Watoa mada ni Wabunge wa CHADEMA wakiongozwa na Kamanda Freeman Mbowe-Kiongozi wa Upinzani Bungeni(KUB).

Ukumbi umeshajaa na hivi sasa tupo tunasikiliza the Best Speech ya Martin Luther King tukiwa tunamsubiri Mgeni rasmi afungue mkutano.

Picha za Matukio mtazipata tukiwa tunaendelea.

P100411_1203.jpg

P100411_1147_01.jpg


Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke.

Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira.

Ahsante sana! MP Regia.
 
Zito pls kuna taaarifa zozote kwanini hujaungana na kamanda MBOWE?
 
Jamani msije ugua ugonjwa wa ZITTOPHOBIASIS. Mbona Slaa hayupo? kuweni wavumilivu, labda tusimuone tar 16 kiwanja atakachopangiwa.
 
convoy nzima ya CDM, Big up kwa kazi nzuri. Hawa jamaa wanatapatapa saa hizi, ndiyo wakati mzuri kuchukua 3 points!
 
Hivi sasa Kamanda Mbowe ndio anafungua mkutano.

Wabunge walioko ni
1.Mbowe
2.Mnyika
3.Lema
4.Wenje
5.Msigwa
6.Silinde
7.Prof Kahigi
8.Joseph Selasini
9.Esta
10.Naomi
11.Chiku
12.Raya
13.Sabreena
14.Kiwanga
15.Kiwelu
16.Christowaja
17.Christina
18.Pauline
19Mrusha sredi


Najua mtaniambia wako wengi hawako hapa. Lakini tangu uchaguzi umemalizika na hata wakati wa uchaguzu, Zitto Kabwe simwoni tena akiambatana na viongozi wenzake katika kuongoza mapambano ya kuwaondoa mafisadi madarakani. Hata safari za kanda ya Ziwa Mwanza, Bukoba nk, nk. Hakuonekana. Kulikoni jamani ??? Au mwenzetu ameshatekwa na mafisadi wenye hela huko CCM ??

Tafathali anayejua kulikoni naommba anifahamishe jamani kwani nasikitika sana moyoni. Asante

 
Halafu kuna move moja ilianzishwa kule Songea na genius mmoja - KUWASHA TAA MCHANA. Kwa maudhui yake, hii ni alama muhimu sana kwa ukombozi wa taifa letu hasa kwa wengi ambao bado wako gizani. Wakati wao wanapumbaza watu kwa "ushirikina" unaoitwa MWENGE na kusambaza UKIMWI kila unapopita, nyie angazeni walioko kwenye giza la ujinga kwa ishara ya KANDILI.
 
Ushauri mnavyofanya si vibaya, Ila 80% ya watanzania wapiga kura wako vijijini na bado hawajafikiwa na elimu ya Uraia. Ni jukumu la chama cha siasa kuwaeleza vingi si vita. Ni jukumu la chama cha siasa nini maana ya vyama vingi. Ningetegemea DK. Slaa aanze kijiji kwa kijiji kata kwa kata bara na visiwani, bila shaka atayaona matunda yake baada ya miaka miwili tu.
 
Ushauri mnavyofanya si vibaya, Ila 80% ya watanzania wapiga kura wako vijijini na bado hawajafikiwa na elimu ya Uraia. Ni jukumu la chama cha siasa kuwaeleza vingi si vita. Ni jukumu la chama cha siasa nini maana ya vyama vingi. Ningetegemea DK. Slaa aanze kijiji kwa kijiji kata kwa kata bara na visiwani, bila shaka atayaona matunda yake baada ya miaka miwili tu.
 
Nimefarijika kuona na akina dada hapo, naona woga wa mageuzi umeanza kuwatoka, Big Up Srs.
 
Kwa nini umeweka list ya wabunge waliohudhuria?

Nimemjibu mchangiaji aliyeomba kujua Wabunge waliopo.Hata hivyo sifungwi wala sikatazi kuorodhesha Wabunge waliopo,kwani dhambi?Tunafanya Kazi kwa Uwazi wala hakuna sababu ya kuficha.Hata hawa wanfaunzi waliohudhuria ningeweza kuwaorodhesha ningefanya hivyo.

Kuna Mbunge mwingine ameongezeka anaitwa Conjesta Rwamlaza Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kagera.

Wapo pia Viongozi wa Chama wa Wilaya na Mkoa wa Dodoma.

Unajingine babito/mamito?
 
Wekeni na mada hii Mkutano mwingine mkiandaa: Umhimu wa Wasomi wa Vyuo Vikuu kupata mbinu za kitaalamu katika Kuzomea!

Kuweni wastaarabu, criticize kwa kutoa hoja za msingi basi, na si kuropoka tu......Hapo kwenye red maana yake nini............Kijani nini wewe! i doubt unaweza ukawa "haTa-mbweha Hizi"
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom