Kongamano la CHADEMA Vyuo Vikuu Dodoma

HONGERA CDM ,makamba alisema Wahashamu Maaskofu wavue majoho waende kwenye majukwaa ya siasa, vipi leo naye kavua kanzu na nundu usoni?
 
Naomba niwe wazi juu ya Mh Zito Kabwe.....Ni kweli watanzani wengi na hata wanaJF wamekuwa wakimtetea Zitto kuwa anashida ni majukumu...Lakini kuna matukio kadhaa muhimu ya chama ajaudhuria kwa kutoa sababu mbalimbali....Leo napenda kumwambia wazi HANATUANGUSHA vijana tuliokuwa tukimtegemea na kumuona kama model.Leo atatoa sababu gani ya kutokuwepo kwenye kongamano? Na akijua kuwa hiyo ilikuwa ni moja ya kampeni za kuimarisha chama hasa kwa vijana ambao ndio hazina kubwa kwasasa.Nadhani Zitto ana matatizo yafuatayo...

  1. Amelewa sifa na amejisahau
  2. Anadharau mipango ya chama aidha kwa kujua au kwa kutojua
  3. Na wasiwasi labda kuna mkono wa mtu nyuma yake unaomsukuma kufanya hivyo...
Zitto anatakiwa kutambua kuwa CHADEMA kwasasa ina hazina ya watu makini na wapambanaji kushinda yeye na kwasababu hiyo jamii itamuhukumu kwa sababu ya usaliti wake dhidi ya chama,watanzania na zaidi kwa MUNGU wake.......
BADILIKA ZITTO.....
 
WanaJF nimekuwa nikifatilia mijadala hapa JF

lakini ZItto amekuwa online hapa JF TOKEA asubuhi mpaka sasa akichungulia baathi ya thread utampata.

Je ZITTO bado anapuuza chama chake DODOMA???

crap... hayakuhusu
 
Twendeni mbele tukijadili maswala ya taifa na future yetu sio kujadili vikao vya sisiem wakigombania nani achukue deal ya umeme daada ya dowans. Tuwaelimishe watanzania mkoa baada ya mkoa. Katiba ni muhimu sana na ndio chanzo cha maendeleo ya taifa. Mikoa tunayotakiwa kwenda kuhamasisha wananchi: Moro, Iringa, Mbeya, Ruvuma, Tanga, Mara, Mwanza, Bukoba, Shiyanga, Pwani, Rukwa, Dar, Arusha.

Chadema lazima tuhakikishe nakala zote za katiba zichapishwe kwa kiswahili na kuhakikisha kila mwananchi anapata nakala yake tu-highlight sehemu zote za majukumu na mamlaka ya raisi na tume ya uchaguzi. Sehemu nyingine ni chombo cha kupigania rushwa kupewa uwezo na mamlaka ya kuwa hukumu bila kuingiliwa na raisi. Jingine ni raisi asipewe "immunity yoyote ile" akifanya makosa aondolewe madakani. Tuunde kamati maalumu kuelimisha watanzania juu ya katiba mpya na umuhimu wa wananchi kuipigia kura na sio bunge la sisiem, tusikubali hii mipango ya kupitisha viraka vya kikwete bungeni.

Trust me, tukipata katiba ya ukweli na haki tutapa uchaguzi wa haki na transparency katika kala swala serikalini.
 
Twendeni mbele tukijadili maswala ya taifa na future yetu sio kujadili vikao vya sisiem wakigombania nani achukue deal ya umeme daada ya dowans. Tuwaelimishe watanzania mkoa baada ya mkoa. Katiba ni muhimu sana na ndio chanzo cha maendeleo ya taifa. Mikoa tunayotakiwa kwenda kuhamasisha wananchi: Moro, Iringa, Mbeya, Ruvuma, Tanga, Mara, Mwanza, Bukoba, Shiyanga, Pwani, Rukwa, Dar, Arusha.

Chadema lazima tuhakikishe nakala zote za katiba zichapishwe kwa kiswahili na kuhakikisha kila mwananchi anapata nakala yake tu-highlight sehemu zote za majukumu na mamlaka ya raisi na tume ya uchaguzi. Sehemu nyingine ni chombo cha kupigania rushwa kupewa uwezo na mamlaka ya kuwa hukumu bila kuingiliwa na raisi. Jingine ni raisi asipewe "immunity yoyote ile" akifanya makosa aondolewe madakani. Tuunde kamati maalumu kuelimisha watanzania juu ya katiba mpya na umuhimu wa wananchi kuipigia kura na sio bunge la sisiem, tusikubali hii mipango ya kupitisha viraka vya kikwete bungeni.

Trust me, tukipata katiba ya ukweli na haki tutapa uchaguzi wa haki na transparency katika kala swala serikalini.



Kama nia yenu itakuwa kuleta mabadiliko chanya kwenye maisha ya watanzania kwa kuhimiza uwajibikaji serikalini, mtakuwa mmefaulu na tutawapa big up. Ila kama nia ya hili ni kupata urais, CCM watawapiga bao la kisigino kwa sababu wanajua kustrategize.
 
Good move and CCM should be counting their days as we go along . These people are dumb and I suspect if they ever thought that. What will happen will be vipande na watabaki na vipande mpaka mwisho . Well said Mbowe kwamba hawa jamaa wana kansa mpaka kwenye damu kwahiyo kujikarabati ni ishu
 
Kama nia yenu itakuwa kuleta mabadiliko chanya kwenye maisha ya watanzania kwa kuhimiza uwajibikaji serikalini, mtakuwa mmefaulu na tutawapa big up. Ila kama nia ya hili ni kupata urais, CCM watawapiga bao la kisigino kwa sababu wanajua kustrategize.

Wewe kweli maskini na mvivu wa mawazo. Unachozungumzia unaonyesha hujui siasa. Kuongoza inchi sio lazima uwe raisi au kwenye hii nafasi. Kwa upande wako makamba na nec walichokifanya ni strategic au ni wizi, kwanini tunapigania katiba au haupo tz? Impact ya chadema mpaka sasa huoni kabisa? Let's focus na mapambano yetu ya democratic reforms na kuacha wananchi kama hawa. We need more citizens who care about the country in parliament not mafisadi.
 
Wewe kweli maskini na mvivu wa mawazo. Unachozungumzia unaonyesha hujui siasa. Kuongoza inchi sio lazima uwe raisi au kwenye hii nafasi. Kwa upande wako makamba na nec walichokifanya ni strategic au ni wizi, kwanini tunapigania katiba au haupo tz? Impact ya chadema mpaka sasa huoni kabisa? Let's focus na mapambano yetu ya democratic reforms na kuacha wananchi kama hawa. We need more citizens who care about the country in parliament not mafisadi.

Kama mwanachadema damu, huwezi kuona udhaifu wowote kuhusu chama chako, utaona mazuri tu. Subiri uambiwe na independents kwani wapinzani wako pia hawawezi kuona strengths zako, wao wanaona udhaifu tu.

That said, tafuta jinsi ya kumanage hizo panic attacks ili uweze kuona na upande mwingine wa shilingi. Si kila asiyesema yes kwenye post yako ni fisadi, so that you know.
 
Back
Top Bottom