Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
kamua mwanangu... kamua mpaka kieleweke, wao wanaweka TOT plus na masanja CHADEMA wanaweka hotuba za Martin Luther King and then wanadhani wako level moja
wafundisheni hao CCM kwamba quality and standards are never compromised
Nimefurahi sana aisee, I wish ningekua ukumbini
Hotuba za Nyerere tu hawazielewi...sembuse kumjua MartinQ