Una amanisha nini kusema Live! Inarusha na kituo cha TV? Au Radio?Wakuu.Habari za Jumapili.
Leo tena tunaendelea na harakati zetu za kujipenyeza na kuwekeza kwa Vijana wa Vyuo Vikuu.Vijana wa CHADEMA Dodoma wameandaa Kongamano kubwa la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Dodoma mabalo linaendelea hivi sasa katika Ukumbi wa African Dream Area D. Mada Kuu katika Kongamano hili ni Vijana Wasomi na Mustakabali wa Taifa.Watoa mada ni Wabunge wa CHADEMA wakiongozwa na Kamanda Freeman Mbowe-Kiongozi wa Upinzani Bungeni(KUB).
Ukumbi umeshajaa na hivi sasa tupo tunasikiliza the Best Speech ya Martin Luther King tukiwa tunamsubiri Mgeni rasmi afungue mkutano.
Picha za Matukio mtazipata tukiwa tunaendelea.
Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke.
Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira.
Hivi sasa Kamanda Mbowe ameshaingia na sasa utambulisho wa Wabunge unaendelea
Where iz Zitto, udhuru gani zis taimu?
Hivi sasa Kamanda Mbowe ndio anafungua mkutano.
Wabunge walioko ni
1.Mbowe
2.Mnyika
3.Lema
4.Wenje
5.Msigwa
6.Silinde
7.Prof Kahigi
8.Joseph Selasini
9.Esta
10.Naomi
11.Chiku
12.Raya
13.Sabreena
14.Kiwanga
15.Kiwelu
16.Christowaja
17.Christina
18.Pauline
19Mrusha sredi
Una amanisha nini kusema Live! Inarusha na kituo cha TV? Au Radio?
Wekeni na mada hii Mkutano mwingine mkiandaa: Umhimu wa Wasomi wa Vyuo Vikuu kupata mbinu za kitaalamu katika Kuzomea!
Dr Slaa siyo mbunge, acha kulitaja bure jina la .....acha kumhukumu coz hata slaa hayupo
Asante kwa Taarifa. Lakini umenishangaza kitu kimoja, kutaja strategy hadharani na huku ukijua fika kuna upinzani. Ilikuwa inatosha kusema tunakutana na vijana wa DOM na si kueleza kirefu kuwa ni mkakati wa kujitanua kwa vijana. Strategy huwa haitajwi wazi hivyo, maana ni kuwaambia watu mnafanya nini ambao ni washindani baadae na wao wanaiba strategy hiyo wanaiboresha kisha mnashindwa kufanikiwa. Ni mangapi mlikuwa mnayaanzisha CCM wanayabeba na kuyatumia kufanikiwa na kuwaacha nyie mkilalalama ohh ilikuwa yetu ile!!!!Wakuu.Habari za Jumapili.
Leo tena tunaendelea na harakati zetu za kujipenyeza na kuwekeza kwa Vijana wa Vyuo Vikuu.Vijana wa CHADEMA Dodoma wameandaa Kongamano kubwa la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Dodoma mabalo linaendelea hivi sasa katika Ukumbi wa African Dream Area D. Mada Kuu katika Kongamano hili ni Vijana Wasomi na Mustakabali wa Taifa.Watoa mada ni Wabunge wa CHADEMA wakiongozwa na Kamanda Freeman Mbowe-Kiongozi wa Upinzani Bungeni(KUB).
Ukumbi umeshajaa na hivi sasa tupo tunasikiliza the Best Speech ya Martin Luther King tukiwa tunamsubiri Mgeni rasmi afungue mkutano.
Picha za Matukio mtazipata tukiwa tunaendelea.
Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke.
Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira.