Nnape amedhamiria alichosema au ameogopa kuzomewa.
Lakini nadhani siku zingine ni vizuri watu wengine wawasilishe hoja, naona watu wengin wameeleza vizuri sana na hii inaonyesha sio hoja ya wachacheNamwona Lwaitama natamani apewe nafasi huyu naye yuko fit.