Kombolela wanajitahidi sana, hongera Azam

Kombolela wanajitahidi sana, hongera Azam

Ile ni tamthilia ya kuangalia mabeki 3, mwanzo alianza vizuri ila tamaa ya kutaka iwe Isidingo inamponza. Kuna siku atajikuta anaishia kuiangalia yeye na waigizaji wake au chumbani kwake na anayempiga mbupu
Inasikitisha sana
 
Sijazifatilia hizo kombolela na zahanati ya kijiji ila kwa nje zinaoneka kuakisi zaidi maisha ya watanzania wengi.
Umasikini, umbea na uswahili mwingi.
 
Hivi nyie mnaoangalia ile series ya jua kali huwa mnajifunza nini...
Mbona kumejaa ufuska tuu..
Ile ilikua iishe zamani sana series kama isidingo, kila siku huwa naona inaendeleaga tu.

Saivi nikichungulia naona mandhari ni mjini, waigizaji wana ukwasi ukwasi tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom