Kombolela wanajitahidi sana, hongera Azam

Kombolela wanajitahidi sana, hongera Azam

😊 Yule anatembeaga na manatii... Mimi ikinikuta nimerudii ndio naangaliaga yaani ipo ivyoo maana familia yangu wanaipenda sana.

Ni nzuriii sanaa alafu mzee kaoa mke mchawii
Ile inaakisi maisha halisi ya watu wa chini huko Uswahilini. Ndiyo maana imekubalika sana.
 
Mimi sio mambo yangu sana haya, ila hii kombolela wanajitahidi sana, Imeweka familia yangu watoto na wife muda wa jioni wanajumuika pamoja

Angalau sahivi hela zangu za kulipia kifurushi haziendi bure maana kipindi cha nyuma nilikua nalipia watu hawahangaiki na tv zaidi ya watoto wanaishia kuangalia cartoon tu

Kombolela wamejitahidi
Naipenda sna kombolela
 
Yap hii ni full maisha halisi, inanikumbusha kitaa ngaleloo.. hahahahahahaha
 
Mimi hata sielewi, hata muda tu wa kutizama sioni....au nirushie humu script hizo ili twende pamoja😛
 
Hivi nyie mnaoangalia ile series ya jua kali huwa mnajifunza nini...
Mbona kumejaa ufuska tuu..
Ile ni tamthilia ya kuangalia mabeki 3, mwanzo alianza vizuri ila tamaa ya kutaka iwe Isidingo inamponza. Kuna siku atajikuta anaishia kuiangalia yeye na waigizaji wake au chumbani kwake na anayempiga mbupu
 
Mimi sio mambo yangu sana haya, ila hii kombolela wanajitahidi sana, Imeweka familia yangu watoto na wife muda wa jioni wanajumuika pamoja

Angalau sahivi hela zangu za kulipia kifurushi haziendi bure maana kipindi cha nyuma nilikua nalipia watu hawahangaiki na tv zaidi ya watoto wanaishia kuangalia cartoon tu

Kombolela wamejitahidi
Kwani waigizaji wanalipwaje?
 
Ile ni tamthilia ya kuangalia mabeki 3, mwanzo alianza vizuri ila tamaa ya kutaka iwe Isidingo inamponza. Kuna siku atajikuta anaishia kuiangalia yeye na waigizaji wake au chumbani kwake na anayempiga mbupu
Mabeli 3 soyo binaadamu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom