Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Uelewa wako umatia mashaka, wewe ni kama mtu mwenye mke na mkewe ana mahusiano na Muuza duka (Mpemba) halafu yeye hajali akisema maadamu sukari na mchele vinapatikana bila jasho ya nini kusumbuka?Kama kila mtanzania atapata uhakika wa kupata chakula, maji, umeme, elimu na afya sina muda na katiba mpya hata raisi awe anasema aitwa muungu, sina time nae ili mradi basic rights are realized
Jifunze kwanza katiba ni nini na haki zako kikatiba zapaswa kuwa nini kabla hujasema hayo uliyosema.