Komba hoi

Komba hoi

Hapo kwenye nyekundu, kwani ana faida gani hadi aombewe kupona. Aopone ili aendelee kutetea ufisadi siyo? Huo muda wa kumwombea bora watu wakalime mchicha. Watu kama hawa inabidi waombewe kufa tu.

pamoja na yote tusiombeane mabaya bro,japo mchango wake hauonekani lakini ktk hili mm siwezi kukuunga mkono ktk kumuombea binadamu mwenzio mabaya kwasababu ya tofauti tu za kiitikadi.
 
Mtu mwenyewe Nyonga mbovu lakini anataka wazipige bungeni atafia huko
hivi nyonga
haina uhusiano na mambo yetu yale? .....anyway hivi kesi ya lulu inaendeleaje?
 
Hahahahahahahahahahahah kumbeeeeeeeee nawaombea wabunge we2 wa cdm nyie msiumwe hata kope aaa wengine hatamk.........................
 
Aibu hata chunusi tu kutumbuliwa mpaka India.Shame on CCM.Mnaimarisha mgogoro wa madaktari ili mtumie mamilioni yetu kujitibu huko ughaibuni
 
MBUNGE wa Mbinga Magharibi Kepteni mstaafu, John Damian Komba anadaiwa kuwa yuko hoi nchini India alikokwenda kwa ajili ya matibabu, Risasi Mchanganyiko lina mkoba uliojaa habari hii.

Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vimeeleza kuwa Mhe. Komba aliondoka nchini wiki iliyopita.
Komba ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kundi la Sanaa za Maonesho la Tanzania One Theatre (TOT) alikwenda nchini humo kwa ajili ya kucheki afya yake lakini amelazimika kufanyiwa upasuaji wa nyonga baada ya kushauriwa na madaktari.

“Awali alikuwa amekwenda kwa lengo la kuangalia afya yake lakini baada ya kufanyiwa uchunguzi akagundulika kuwa ana matatizo ya nyonga, hivyo akatakiwa kufanyiwa upasuaji haraka sana,” kilisema chanzo chetu kimojawapo.

Mmoja wa ndugu wa karibu na Komba, kwa sharti la kutotajwa jina lake gazetini kwa vile yeye siyo msemaji wa familia, alithibitisha hilo.

Huyu hapa anazungumza: “Ni kweli mzee amekwenda India. Tunashukuru Mungu ameshafanyiwa upasuaji na anaendelea vizuri. Muhimu kwa Watanzania ni kumuombea dua apone haraka.”

Mimi nimuombee Komba ?Sina muda mchafu aombewe na wazinzi wenzake
 
sasa kwa mwili wote huo kama wa tembo na anasimamia mikono unategemea nini??????
lazma mikono ishindwe ku stand hiyo weight, by ze way...
mfikishieni salam za pole na pia mwambieni hku chama cha mabwepande kimelinukisha..
na wajanja tunazidi kulipeperusha :israel:
 
MBUNGE wa Mbinga Magharibi Kepteni mstaafu, John Damian Komba anadaiwa kuwa yuko hoi nchini India alikokwenda kwa ajili ya matibabu, Risasi Mchanganyiko lina mkoba uliojaa habari hii.

Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vimeeleza kuwa Mhe. Komba aliondoka nchini wiki iliyopita.
Komba ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kundi la Sanaa za Maonesho la Tanzania One Theatre (TOT) alikwenda nchini humo kwa ajili ya kucheki afya yake lakini amelazimika kufanyiwa upasuaji wa nyonga baada ya kushauriwa na madaktari.

“Awali alikuwa amekwenda kwa lengo la kuangalia afya yake lakini baada ya kufanyiwa uchunguzi akagundulika kuwa ana matatizo ya nyonga, hivyo akatakiwa kufanyiwa upasuaji haraka sana,” kilisema chanzo chetu kimojawapo.

Mmoja wa ndugu wa karibu na Komba, kwa sharti la kutotajwa jina lake gazetini kwa vile yeye siyo msemaji wa familia, alithibitisha hilo.

Huyu hapa anazungumza: “Ni kweli mzee amekwenda India. Tunashukuru Mungu ameshafanyiwa upasuaji na anaendelea vizuri. Muhimu kwa Watanzania ni kumuombea dua apone haraka.”

Hii ndiyo sababu wabunge hawapiganii kuboreshwa kwa huduma za afya; check up India kwa nini isiwe Muhimbili?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Hapo kwenye nyekundu, kwani ana faida gani hadi aombewe kupona. Aopone ili aendelee kutetea ufisadi siyo? Huo muda wa kumwombea bora watu wakalime mchicha. Watu kama hawa inabidi waombewe kufa tu.


White n' clear...
 
Kulala lala ovyo na kukoroma bungeni ni ugonjwa mkubwa sana,anatakiwa apasuliwe na kichwa ili warekebishe ubongo wake,hauko sawa kabisa.


Miudenda huwa inamchuruzika...mwenyewe hana habari.

Akikurupuka neno la kwanza kusema ''NDIIOOOOO''
 
Yule mzee pamoja na swala la kukoroma sana bungeni pia anatatizo la kujamba sana mjengoni nashauri madaktari waliangalie hilo kabla hajarudi.
 
Back
Top Bottom