fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,851
- 388
Nikisema nchi haina viongozi na vyombo imara vya usalama wengine humu povu linawatoka kwa kutetea, hivi hawa tiss/uwt wao hawashangai mtu kwenda kufanyiwa checkup india wakati tuna hospitali za kutosha hapa? Inawezekanaje daktari mzalendo kutetewa na wabunge wanao cheki afya zao nje kwa gharama za serikali? Nawasihi ccm warekebishe mambo yao mapema maana wameanza kukosa uhalali wa kutawala kwa wananchi, kwa maana nyingine wananchi wako tayari kutawaliwa na chama chochote kuliko ccm kwaajili ya mambo kama haya.