Komba Bungeni

Kuna mawili may be aliibuka usingizini au jana alikuwa kwenye kwaya sana siajabu maana anawa tungo za mashairi
 
Kujaribu.jpg
 
watu wengine wanaongea tu alimradi aonekane kaongea, komba hata jimboni kwake hakuna lami sasa hizo lami anazungumzia ziko wapi? tatizo la kuchagua watu wasiosoma maana muda wote anakuwa mnafiki tu kwa chama chake. 2015 hatumtaki tena
 
Jamaa anasema msimuone kwa kuwa ni mnene but wananchi wake ni masikini wa kutupwa so anawaombea wajengewe barabara.je watakula barabara?
 
Ama kweli hilo jimbo lililomtuma Komba wana hasara! Hata kama Kenya na Uganda wana barabara chache zenye lami hicho hakitoshi kuwa kipimo cha Tanzania kuonyesha idadi ya bara bara tunazopaswa kuwa nazo. Nadhani mahali sahihi pa kuanzia ni kwenye mahitaji Yetu, halafu tuangalie na uwezo wetu( utajiri wetu). Tanzania tunazo fursa nyingi sana za kiuchimi ukilinganisha na hizo nchi alizozitaja huyo mheshimiwa. Haifai kujilinganisha na mataifa ambayo hayana rasilimali kama sisi. Ni aibu kwa nchi kubwa kamaTanzania kuwa na kilometa 78,000 tu za barabara( zenye lami na zisizokuwa na lami) wakati Taifa dogo tu kama Uholanzi ( ambapo eneo lake ni kama mkoa wa kilimanjaro tu) linakuwa na barabara zenye lami zipatazo urefu wa kilometa 136,827. Kama unataka takwimu zaidi za kufananisha Tanzania na Mataifa mengine ulimwenguni katika viashiria mbali mbali piga hapa. Roadways - Country Comparison - TOP 100 Ni lazima utajisikia vibaya.
 
hivi miziki ya huyu mtu unaweza kuisikia sehemu gani??hivi club inapigwa??redioni sijawahi kusikia eti inapigwa kama burudani...siielewielewi..au kanisani??okaaaay..kwenye kampeni!!kwa hiyo ni ya msimu
 
Komba amesema bungeni leo ya kwamba barabara za rami tanzania ukizipeleka uganda au kenya nchi hizo zitakuwa na rami hadi vyooni! kwamba tusilalame!hoja za kweli hizi?mwenye data atusaidie!

Vilevile kasema hivi' japo mnasema kanguruwe" ghafla akaomba msamaha kwa waislamu na kusema "kasungura kadogo" hivi ni kweli amekosea au...........!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hivi anapolinganisha nchi yetu na Uganda/Kenya anataka kutuambia nini, maana sisi ni mataraji wa resources kuliko wote hao na tungekuwa tumejipanga vizuri hata kukopa wangekuja kwetu licha ua kuwa na barababara za lami kila wilaya..
 
Vilevile kasema hivi' japo mnasema kanguruwe" ghafla akaomba msamaha kwa waislamu na kusema "kasungura kadogo" hivi ni kweli amekosea au...........!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Haa haa haaa, kanguruwe kadogo!
 
Mkuu

Asante kwa ufafanuzi na link. Ukiangalia kwenye Economy - Population below poverty line - TOP 100 bado tunafanya ovyo kabisa.

Ama kweli hilo jimbo lililomtuma Komba wana hasara! Hata kama Kenya na Uganda wana barabara chache zenye lami hicho hakitoshi kuwa kipimo cha Tanzania kuonyesha idadi ya bara bara tunazopaswa kuwa nazo. Nadhani mahali sahihi pa kuanzia ni kwenye mahitaji Yetu, halafu tuangalie na uwezo wetu( utajiri wetu). Tanzania tunazo fursa nyingi sana za kiuchimi ukilinganisha na hizo nchi alizozitaja huyo mheshimiwa. Haifai kujilinganisha na mataifa ambayo hayana rasilimali kama sisi. Ni aibu kwa nchi kubwa kamaTanzania kuwa na kilometa 78,000 tu za barabara( zenye lami na zisizokuwa na lami) wakati Taifa dogo tu kama Uholanzi ( ambapo eneo lake ni kama mkoa wa kilimanjaro tu) linakuwa na barabara zenye lami zipatazo urefu wa kilometa 136,827. Kama unataka takwimu zaidi za kufananisha Tanzania na Mataifa mengine ulimwenguni katika viashiria mbali mbali piga hapa. Roadways - Country Comparison - TOP 100 Ni lazima utajisikia vibaya.
 
hivi miziki ya huyu mtu unaweza kuisikia sehemu gani??hivi club inapigwa??redioni sijawahi kusikia eti inapigwa kama burudani...siielewielewi..au kanisani??okaaaay..kwenye kampeni!!kwa hiyo ni ya msimu

fungulia redio uhuru utaisikia, kuna nyakati hata TBC wanaweka nyimbo zake. hii ya leo ni single nyingine pale mjengoni. nafikiri ana katatizo ka kiafya.
 
Komba amesema bungeni leo ya kwamba barabara za rami tanzania ukizipeleka uganda au kenya nchi hizo zitakuwa na rami hadi vyooni! kwamba tusilalame!hoja za kweli hizi?mwenye data atusaidie!
<br />
<br />
Kwani jana hakusinzia huyo bwana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom