yaan dady we acha tuu.We Kadoda 11 Kyani hasa?.
mliomsikiliza alionekana kama ndo ameamka au alikuwa angali anaota akawasha mic akasema hayoNi ndoto tu!!!
mliomsikiliza alionekana kama ndo ameamka au alikuwa angali anaota akawasha mic akasema hayoNi ndoto tu!!!
<br />hapo anawaza kwaya tuu tieni tieni kwa moyo moja nambari mwisho eeeeeeeenh nambari mwisho ni CCM hahaaaa
hivi rami ndio marumaru eeeh?
<br />No, 'rami' ndio ''malumalu''
Ngojeni aamke huyu.......
<br />hivi miziki ya huyu mtu unaweza kuisikia sehemu gani??hivi club inapigwa??redioni sijawahi kusikia eti inapigwa kama burudani...siielewielewi..au kanisani??okaaaay..kwenye kampeni!!kwa hiyo ni ya msimu