Wadau niko njiandaa kuandika historia ya komandoo wa kitanzania aliye kuwa akitwa Tarimo, kijana huyu alipata mafunzo yake kule Cuba, na baadae kurejea nyumbani Tanzania.
Je kuna mtu awaye yeyote mwenye ufahamu wa ili Jambo? naomba michango yenu zaidi.
Huyo Tarimo si anachoma nyama pale uwanja wa fisi huku akiijiita Komando Joni??
Mimi namkumbuka komando halisi TAMIM!! Wangapi mnamkumbuka huyu na alifanya nini? Hint: Unamkumbuka uncle Tom? Haya vijana somo la historia ya nchi yenu, waulizeni wazee wenu waliohai!!
Mimi namkumbuka komando halisi TAMIM!! Wangapi mnamkumbuka huyu na alifanya nini? Hint: Unamkumbuka uncle Tom? Haya vijana somo la historia ya nchi yenu, waulizeni wazee wenu waliohai!!
Mimi namkumbuka komando halisi TAMIM!! Wangapi mnamkumbuka huyu na alifanya nini? Hint: Unamkumbuka uncle Tom? Haya vijana somo la historia ya nchi yenu, waulizeni wazee wenu waliohai!!
Mambo vipi Judi?aisee!
nadhani aliyemuua ni afisa usalama wa taifa ambae sasa hv ni mwanasheria na mwanasiasa maarufu...
Ndinani mbona umeogopa kumalizia? Kweli kaka huyu komandoo alikuwa anaitwa MOHAMED TAMIMU alichofanya ndicho kilisababisha asafiri safari wasiyorudi mnamo miaka ya 1982/83 mwezi sikumbuki