Komando wa kike Jeshini

Komando wa kike Jeshini

Makamee

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2013
Posts
2,029
Reaction score
1,201
Tukiwa tunajiandaa kuangalia maonyesho mbalimbali ya majeshi yetu na mbwembwe na ukakamavu wa makomando wetu ktk sherehe za Muungano unapotimiza miaka 50 mwaka huu.
Hivi huko jeshini wapo Makomando wa kike wanaoruka na kuvunja matofali kama wale wakiume?
 
Wapo wengi sana tu utafikiri wamesingiziwa kuwa wanawake
 
..hakuna komando wa kike jwtz na hata nchi nyingine.labda half komando na sio jeshi la tz.niamini mimi zingine porojo.
 
gen. Moshe Dayan uko wapi?.kuna mtu kaniambia umepotelea congo forest ktk ile vita na m23.kama upo nakuomba uje uondoe utata aliouliza mleta mada.
 
Last edited by a moderator:
..hakuna komando wa kike jwtz na hata nchi nyingine.labda half komando na sio jeshi la tz.niamini mimi zingine porojo.

husiwe mwepesi kukanusha kitu hasa hasa kama hukijui na huna uhakika nacho. yangu ni hayo tu.
 
Tukiwa tunajiandaa kuangalia maonyesho mbalimbali ya majeshi yetu na mbwembwe na ukakamavu wa makomando wetu ktk sherehe za Muungano unapotimiza miaka 50 mwaka huu.
Hivi huko jeshini wapo Makomando wa kike wanaoruka na kuvunja matofali kama wale wakiume?

Ukomando mavi wa kuvunja matofali..wawapeleke afghanistan waone kama ni makomando kweli
 
Back
Top Bottom