wambura marwa
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 2,171
- 1,129
Kwenye jumba bovu nako nyomi ila hali ngumu hata buku tu wanashindwaWatu ni nyomi ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye jumba bovu nako nyomi ila hali ngumu hata buku tu wanashindwaWatu ni nyomi ....
hahahaha wazee wakuzamia hatariKwenye jumba bovu nako nyomi ila hali ngumu hata buku tu wanashindwa
Sent using Jamii Forums mobile app
jamaa wamejipanga sana....wanajua...ujio wa Tv E ni kitete kwa clouds Tv
wamejipanga sana na wanaonesha nia kabisaeTV iko Vizuri SANA.....
mawinguTV Tafuteni CHAKA....
WAJANJA TUNAHAMIA eTV/eFM ndo MPANGO MZIMA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini mnaamini kuwa mtu hawezi kufanya vizuri bila kumpindua mwenzake?Hawa jamaa E fm unajua wanaweza kuwapindua ki ushawishi na usikilizwaji clouds media. Maana leo kila kona yani mji mzima wazee kwa vijana naona wameshika kasi kuelekea Tanganyika Packers. Nishapokea simu ya watu tofauti kutoka tegeta na mbagala wakiniulizia kuhusu hiyo komaa concert.
hahahahah Watanzania wanapenda ligi sana hahahaKwanini mnaamini kuwa mtu hawezi kufanya vizuri bila kumpindua mwenzake?
Sasa nani kajiblock hapo anaepiga au anayepigiwa?Et namba wanapiga inatumika hahahaha, wamejiblock kisha wanapiga cm kuonesha inatumika
.....Free ideas.....
Kwani haiwezi tokea? kuna nini cha kushangaza namba kutumika tena hapo uwanjani?Huu ni utapeli, kila namba wanapiga inatumika??Huu ni utapeli waz waz
.....Free ideas.....