Komaa concert Live-TV-E

Komaa concert Live-TV-E

kinjumbi one

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2015
Posts
1,696
Reaction score
2,159
Hawa jamaa E fm unajua wanaweza kuwapindua ki ushawishi na usikilizwaji clouds media. Maana leo kila kona yani mji mzima wazee kwa vijana naona wameshika kasi kuelekea Tanganyika Packers. Nishapokea simu ya watu tofauti kutoka tegeta na mbagala wakiniulizia kuhusu hiyo komaa concert.
 
Mkuu unazungumzia nini? Huku Nanjilinji hatuelewi hicho unachokusudia.
 
Huko Tanganyika packers ndo karibu na KIBITI au?

Tombatomba idevice Model TH 45
 
Mkuu nazungumzia E fm kuonekana kuzidi kuchanja mbuga ktk kuonekana kuteka nyoyo za wasikilizaji. Tangia miaka ya 2000 hapa bongo bingwa na jabari la burdani walikua ni clouds media, sasa naona wamepata washindani wa kweli wanawatoa jasho. Kwa mfano E fm wameanzisha kitu kinachoshabiiana kabisa na fiesta, na wameita komaa concert, na watu wameipokea kwa muitikio mkubwa.
Mkuu unazungumzia nini? Huku Nanjilinji hatuelewi hicho unachokusudia.
u
 
biko wapo pia ama nin milion 20 jumadili..
 
Mkuu huu niliagiza kutoka malaysia mkuu,android 5.0,Camera ya nyuma MP 13,ya mbele MP 5,screen nchi 5 mkuu.Umeipenda boss?

Tombatomba idevice Model TH 45
Hapana iyo siwezi kutumia inaonekana ina gharama zake,ila hii simu aipo kwenye orodha za tcra
 
Clouds Hata wasanii wamepoteza imani nao.angalizo langu kwa E fm waache kuwawekea bifu wasanii wa wasafi kwa vile kila wakitoa nyimbo hawazindulii kwao.kwahiyo e fm wanahisi kudharauliwa na akina diamond.

Fuatilia vipi.d vyao vya tv skuizi hawapigi nyimbo zao.
 
Wana jamvi wasalaam..
Tamasha la Komaa concert linaandaliwa na E-fm naona wako live kupitia TV-E..
Wanao tarajiwa kutoa show ni singeli na bongo fleva
Wako Tanganyika packers Kawe
 
Back
Top Bottom