Kiintaneti
Member
- Feb 10, 2016
- 65
- 18
Ila kila mmoja ana test yake
Haha yu made my dayAkifanya collabo na chibu atajiua kimziki
Make mziki wake unategemea bifu, ataikosa support /women empowerment kutoka kwa wema na Jojo pamoja na team zao
Sasa hapo kutakua na mziki? Eti Ruttashobolwa unaonaje?
Boy unaonekana wa ajabu sana.Domo mashabik mnampa kiburi bure tu wakati mziki hajui,skendo na Kik za kijinga ndo anategemea
Una ushahidi baba maana unavomake sureUngejua hata mabosi wake dai wanavyoiombea hiyo bifu isife,wala usingeropoka
Labda yeye......domo katoka 2009 adi leo yuko on top but still haters wanakomplain et hajui kuimba kwli hater no hater tuNani anajua mziki sasa Kiba?
Unaeza tupa hint kidogo kwa nn mkuuWote wasenge 2
Kuna watu huwa wanapenda wengine wagombane kwakuwa wanafaidika na ugomvi huoNingependa uexplain kidogo boss..
Cha kujua kwamba diamond alikata mauno ngoma ya kiba asa we povu sijui la nini?K anaongea kama vile yupo juu ya Diamond, kwa hapo na mdomo kuukunja kunja anaonyesha maneno aliyoyaongea kayatolea kwebte ulimi. Inabidi akubali kuwa Diamond ni mwanamziki wa juu ila hataki anachekesha sana...hakuna kolabo hapo hakuna kusaidiwa kutoka kabisa.
Mwanamziki mwingine angronyesha furaha ya kuombwa kuimba na mtu kama Diamond ila yeye eti ndio achague aka sleep kwanza kwa kweli aote ndoto za kupenda bifu kutaka kupaa. Akubali he is a low class musician kwa sasa.
Alikuwa anakula wap wakat dimond anauza mitumba kwao huko.Sasa bifu likimalizika Kiba atakula wapi
Kwan intavyuu ipi dimond aliimba nyimbo ya Ali kiba... Acheni unaaKiba sidhani kama kamaanisha, Diamond sidhani kama ana tatizo!
Diamond ana tabia ya kujishusha, nasema hivi sababu interview ya Kiba na Sporah show kiba alikataa kuimba wimbo wowote wa Diamond. Nimewaona hawa watu ktk interview tofauti, Diamond yuko tofauti kabisa na Kiba licha ya istaa wake ila ni wa kawaida sana, ni mtu wa watu na wa kawaida sana.
Ndo ukweli muziki wa Ali kiba ni wa rika zoteMtangazaji kamweleza Kiba kwamba walikuwa Club na kina Diamond, Davido na wengine wengi, ilipopigwa nyimbo ya Mwana Diamond alipanda stage kucheza na huku akiuimba huo wimbo, eti mtangazaji akashangaa kwa Diamond kufanya vile.
Ha ha ha, Kiba amejibu akisema yeye anaimba muziki mzuri na anaimbia watu, kwa hiyo hata kama unamchukia utauimba wimbo wake tu.
Wakat wa cinderellah.. Macmuga na nyinginezo alikuwa na bifu na babako?...hahahaaaaaAkifanya collabo na chibu atajiua kimziki
Make mziki wake unategemea bifu, ataikosa support /women empowerment kutoka kwa wema na Jojo pamoja na team zao
Sasa hapo kutakua na mziki? Eti Ruttashobolwa unaonaje?
Jipen moyooooo...kibakuli pole dogo mond saivi hafikirii kitaifa anafikiria kimataifa na mbefele huko ulaya we endelea kuwaimbia wanyama porini bila kiki huishi haukui tu ai ndo uko overrated! acha kubana pua imba kiume
Wengineo kina nani kamtaja kiba?Tatizo ally ana ustaa wa zamani wa kina Gk... mbona dai interview kibao full respect kwa wakongwe kina Mr blue na wengineo..