Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,928
- 828,569
Hizi kelele wanazopiga hawa vijana hapa ni sawa na kelele za chura ambazo haziwezi kumzuia tembo kunywa maji.
In fact kwasaasa kinauzwa kila kitu
Vikubwa vimeshauzwa vyote
Vya kati vimeshauzwa vyote sasa ni zamu ya vidogo
Wiki iliyopita tulishuhudia uuzwaji wa shule kule Kurasini DSM.
Kabla ya hapo kuna mashamba yenye mahindi yaliyokuwa yamemea vizuri sana kule Ngorongoro.. Kwa taharuki kubwa na kwa mshangao wa wengi yale mahindi yalifyekwa yote kwa amri na usimamizi wa DC
Mwaka jana stendi ya daladala ya simu 2000 iliuzwa. Wananchi walipinga kwa nguvu sana mpaka kufikia kuandamana lakini haikusaidia waliondoshwa kwa nguvu
Maeneo ya wazi karibia yote yalishauzwa, shule za serikali tumeshuhudia mbili zikiuzwa ndani ya mwaka mmoja
Masoko mengi yameuzwa lakini kelele hazikuwa nyingi kwakuwa ilitumika style ya kupiga kibiriti
Hawa vijana nawaonea huruma sana hasa hawa wanaoonekana wakiongea.
Tuwaombee sana sana!
Na si ajabu ndani ya mwezi ujao ukaambiwa COCO BEACH imewaka moto usiku! Maana ajali za moto maeneo kama hayo siku hizi ni kawaida sana
In fact kwasaasa kinauzwa kila kitu
Vikubwa vimeshauzwa vyote
Vya kati vimeshauzwa vyote sasa ni zamu ya vidogo
Wiki iliyopita tulishuhudia uuzwaji wa shule kule Kurasini DSM.
Kabla ya hapo kuna mashamba yenye mahindi yaliyokuwa yamemea vizuri sana kule Ngorongoro.. Kwa taharuki kubwa na kwa mshangao wa wengi yale mahindi yalifyekwa yote kwa amri na usimamizi wa DC
Mwaka jana stendi ya daladala ya simu 2000 iliuzwa. Wananchi walipinga kwa nguvu sana mpaka kufikia kuandamana lakini haikusaidia waliondoshwa kwa nguvu
Maeneo ya wazi karibia yote yalishauzwa, shule za serikali tumeshuhudia mbili zikiuzwa ndani ya mwaka mmoja
Masoko mengi yameuzwa lakini kelele hazikuwa nyingi kwakuwa ilitumika style ya kupiga kibiriti
Hawa vijana nawaonea huruma sana hasa hawa wanaoonekana wakiongea.
Tuwaombee sana sana!
Na si ajabu ndani ya mwezi ujao ukaambiwa COCO BEACH imewaka moto usiku! Maana ajali za moto maeneo kama hayo siku hizi ni kawaida sana