Kodi za Tanzania ni za ajabu sana, inawezekanaje gari ya miaka 20 iuzwe kwa zaidi ya Milioni 20?

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,460
17,273
Sijui ni sababu ya kodi ama umasikini lakini gharama za maisha Tanzania zinasikitisha sana.

Hii nchi kweli bado masikini na kuja kutoka hapa sio leo.

Leo ukiagiza gari ya mwaka 2001, gari ambayo nchi karibu zote Duniani zimeiondoa barabarani kwa sababu ya kimazingira na kiafya isipokua Tanzania lakini kodi yake utakimbia.

Gari ambazo nchi nyingine zinagawiwa bure Tanzania kodi yake haina mfano.

Sasa basi ingekua ahueni kwa pale unaponunua gari ya miaka michache kama 5 ama 6, lakini wapi, ununue la zamani kodi kubwa, ununue jipya kodi kubwa , sasa hawa wanyonge wataendeshaje magari?

Zaidi ya 90% ya magari yanayoagizwa Tanzania yana umri wa zaidi ya miaka 12. Serikali kila kukicha inapandisha kodi ya vitu sio kupunguza.

CCM hata tukiwapa miaka 800 hakuna kitu watafanya nchi hii zaidi ya kuwafukarisha watanzania.

CCM iko madarakani miaka 60 lakini zaidi ya 80% ya Watanzania ni masikini wa kutupwa, wanaitwa wanyonge.

Chini ya ccm, petroli lita moja Malawi/Zambia kwa pesa za Kitanzania ni 1,200 hadi 1,600 Tanzania ni 2000+. Hayo mafuta yanapitia bandari ya Dar

Chini ya ccm, simenti Zambia/Malawi/Kenya kwa pesa za Kitanzania ni kati ya 10,000 hadi 12,000, Tanzania ni zaidi ya 24,000.

Chini ya miaka 60 ya ccm, sukari nchi jirani kilo moja ni kati ya 800 hadi 1,200, Tanzania ni zaidi ya 2,800.

Njoo kwenye mabati, mbao, thamani za ndani na vitu vingine, nchi jirani zinazotuzunguka pamoja na kua vitu vyao vinapitia bandari ya Dar lakini bei iko chini sana, Tanzania ni mara 2 yake.

Watanzania wanaenda kununua nguo, viatu na vitu vingine Uganda wakati hiyo mizigo ya Uganda inapitia bandari ya Dar es Salaam.

Leo hii baada ya miaka 60 ya uhuru CCM wanakuja na hadithi za kununua ndege, kujenga madaraja, huku zaidi ya 80% ya watanzania ni fukara wa kutupwa, si vituko hivi?

CCM hata tukiwapa miaka 800, hakuna kitu watafanya zaidi ya kuwafanya watanzania waendelee kua fukara wa kutupwa.
 
Serikali ina discourage kununua magari ya muda mrefu sababu ya uharibifu wa mazingira,na hizo nchi eanadimp huku sababu makwao zimeshatoka sokoni na hazitiki Tena ndo maana wanauza Bei rahisi,Kama unataka gari nunua latest siyo ya miaka 30 au 20 nyuma..
Kodi ziko juu ata ulete gari mpya ya 2021. Mfano ununue IST ya 2021 kodi ni asilimia 60 ya bei.
Screenshot_20210110-075835_Chrome.jpg
 
Sijui ni sababu ya kodi ama umasikini lakini gharama za maisha Tanzania zinasikitisha sana.

Hii nchi kweli bado masikini na kuja kutoka hapa sio leo.

Leo ukiagiza gari ya mwaka 2001, gari ambayo nchi karibu zote Duniani zimeiondoa barabarani kwa sababu ya kimazingira na kiafya isipokua Tanzania lakini kodi yake utakimbia.

Gari ambazo nchi nyingine zinagawiwa bure Tanzania kodi yake haina mfano.

Sasa basi ingekua ahueni kwa pale unaponunua gari ya miaka michache kama 5 ama 6, lakini wapi, ununue la zamani kodi kubwa, ununue jipya kodi kubwa , sasa hawa wanyonge wataendeshaje magari?

Zaidi ya 90% ya magari yanayoagizwa Tanzania yana umri wa zaidi ya miaka 12. Serikali kila kukicha inapandisha kodi ya vitu sio kupunguza.

CCM hata tukiwapa miaka 800 hakuna kitu watafanya nchi hii zaidi ya kuwafukarisha watanzania.

CCM iko madarakani miaka 60 lakini zaidi ya 80% ya Watanzania ni masikini wa kutupwa, wanaitwa wanyonge.

Chini ya ccm, petroli lita moja Malawi/Zambia kwa pesa za Kitanzania ni 1,200, Tanzania ni 2000+. Hayo mafuta yanapitia bandari ya Dar

Chini ya ccm, simenti Zambia/Malawi/Kenya kwa pesa za Kitanzania ni kati ya 10,000 hadi 12,000, Tanzania ni zaidi ya 24,000.

Chini ya miaka 60 ya ccm, sukari nchi jirani kilo moja ni kati ya 800 hadi 1,200, Tanzania ni zaidi ya 2,800.

Njoo kwenye mabati, mbao, thamani za ndani na vitu vingine, nchi jirani zinazotuzunguka pamoja na kua vitu vyao vinapitia bandari ya Dar lakini bei iko chini sana, Tanzania ni mara 2 yake.

Watanzania wanaenda kununua nguo, viatu na vitu vingine Uganda wakati hiyo mizigo ya Uganda inapitia bandari ya Dar es Salaam.

Leo hii baada ya miaka 60 ya uhuru CCM wanakuja na hadithi za kununua ndege, kujenga madaraja, huku zaidi ya 80% ya watanzania ni fukara wa kutupwa, si vituko hivi?

CCM hata tukiwapa miaka 800, hakuna kitu watafanya zaidi ya kuwafanya watanzania waendelee kua fukara wa kutupwa.
Wewe umeamka na kisirani tu, hata haijulikani unalalama nini.
 
Sijui ni sababu ya kodi ama umasikini lakini gharama za maisha Tanzania zinasikitisha sana.

Hii nchi kweli bado masikini na kuja kutoka hapa sio leo.

Leo ukiagiza gari ya mwaka 2001, gari ambayo nchi karibu zote Duniani zimeiondoa barabarani kwa sababu ya kimazingira na kiafya isipokua Tanzania lakini kodi yake utakimbia.

Gari ambazo nchi nyingine zinagawiwa bure Tanzania kodi yake haina mfano.

Sasa basi ingekua ahueni kwa pale unaponunua gari ya miaka michache kama 5 ama 6, lakini wapi, ununue la zamani kodi kubwa, ununue jipya kodi kubwa , sasa hawa wanyonge wataendeshaje magari?

Zaidi ya 90% ya magari yanayoagizwa Tanzania yana umri wa zaidi ya miaka 12. Serikali kila kukicha inapandisha kodi ya vitu sio kupunguza.

CCM hata tukiwapa miaka 800 hakuna kitu watafanya nchi hii zaidi ya kuwafukarisha watanzania.

CCM iko madarakani miaka 60 lakini zaidi ya 80% ya Watanzania ni masikini wa kutupwa, wanaitwa wanyonge.

Chini ya ccm, petroli lita moja Malawi/Zambia kwa pesa za Kitanzania ni 1,200 hadi 1,600 Tanzania ni 2000+. Hayo mafuta yanapitia bandari ya Dar

Chini ya ccm, simenti Zambia/Malawi/Kenya kwa pesa za Kitanzania ni kati ya 10,000 hadi 12,000, Tanzania ni zaidi ya 24,000.

Chini ya miaka 60 ya ccm, sukari nchi jirani kilo moja ni kati ya 800 hadi 1,200, Tanzania ni zaidi ya 2,800.

Njoo kwenye mabati, mbao, thamani za ndani na vitu vingine, nchi jirani zinazotuzunguka pamoja na kua vitu vyao vinapitia bandari ya Dar lakini bei iko chini sana, Tanzania ni mara 2 yake.

Watanzania wanaenda kununua nguo, viatu na vitu vingine Uganda wakati hiyo mizigo ya Uganda inapitia bandari ya Dar es Salaam.

Leo hii baada ya miaka 60 ya uhuru CCM wanakuja na hadithi za kununua ndege, kujenga madaraja, huku zaidi ya 80% ya watanzania ni fukara wa kutupwa, si vituko hivi?

CCM hata tukiwapa miaka 800, hakuna kitu watafanya zaidi ya kuwafanya watanzania waendelee kua fukara wa kutupwa.
Ndio maana hatutaki kujenga viwanda maana kodi tunayochukua ni zaidi ya bei ya gari huko watengenezako
 
Sijui ni sababu ya kodi ama umasikini lakini gharama za maisha Tanzania zinasikitisha sana.

Hii nchi kweli bado masikini na kuja kutoka hapa sio leo.

Leo ukiagiza gari ya mwaka 2001, gari ambayo nchi karibu zote Duniani zimeiondoa barabarani kwa sababu ya kimazingira na kiafya isipokua Tanzania lakini kodi yake utakimbia.

Gari ambazo nchi nyingine zinagawiwa bure Tanzania kodi yake haina mfano.

Sasa basi ingekua ahueni kwa pale unaponunua gari ya miaka michache kama 5 ama 6, lakini wapi, ununue la zamani kodi kubwa, ununue jipya kodi kubwa , sasa hawa wanyonge wataendeshaje magari?

Zaidi ya 90% ya magari yanayoagizwa Tanzania yana umri wa zaidi ya miaka 12. Serikali kila kukicha inapandisha kodi ya vitu sio kupunguza.

CCM hata tukiwapa miaka 800 hakuna kitu watafanya nchi hii zaidi ya kuwafukarisha watanzania.

CCM iko madarakani miaka 60 lakini zaidi ya 80% ya Watanzania ni masikini wa kutupwa, wanaitwa wanyonge.

Chini ya ccm, petroli lita moja Malawi/Zambia kwa pesa za Kitanzania ni 1,200 hadi 1,600 Tanzania ni 2000+. Hayo mafuta yanapitia bandari ya Dar

Chini ya ccm, simenti Zambia/Malawi/Kenya kwa pesa za Kitanzania ni kati ya 10,000 hadi 12,000, Tanzania ni zaidi ya 24,000.

Chini ya miaka 60 ya ccm, sukari nchi jirani kilo moja ni kati ya 800 hadi 1,200, Tanzania ni zaidi ya 2,800.

Njoo kwenye mabati, mbao, thamani za ndani na vitu vingine, nchi jirani zinazotuzunguka pamoja na kua vitu vyao vinapitia bandari ya Dar lakini bei iko chini sana, Tanzania ni mara 2 yake.

Watanzania wanaenda kununua nguo, viatu na vitu vingine Uganda wakati hiyo mizigo ya Uganda inapitia bandari ya Dar es Salaam.

Leo hii baada ya miaka 60 ya uhuru CCM wanakuja na hadithi za kununua ndege, kujenga madaraja, huku zaidi ya 80% ya watanzania ni fukara wa kutupwa, si vituko hivi?

CCM hata tukiwapa miaka 800, hakuna kitu watafanya zaidi ya kuwafanya watanzania waendelee kua fukara wa kutupwa.

Nchi hii watu wa mipakani ndo ufaidi zaidi ununua vitu nchi jirani.
Hata Zama za awamu ya kwanza pale watz walipolazimishwa wawe masikini baada ya Uhuru wengi walivuka mipaka asubui wanaendesha maisha kule ikiwemo kuficha pesa zao nje Hadi alipoingia Mzee ruksa.
Wa mpakani ujazia mafuta nchi jirani.
Kodi kubwa sio makusanyo makubwa uchochea ukwepaji Kodi,huuwa uchumi wa nchi.
 
Kiukweli mambo yametite ...
Ila cement sio Tz24000
Ni wa Tz tu wanapenda maisha ya kulalama
Ili nchi isonge mbele tunahitaji Kodi ya wananchi nasio masaada wa mabeberu...
Huwezi kazania kukusanya tu Kodi pasipo chochea uzalishaji.Raslimali zetu hazitumiki Ili zichochee ukuaji wa export Ili kupata pesa nyingi za kuchochea miradi.
Ukitoza Kodi kubwa utakusanya kidogo.Zambia,Malawi wao utoza kidogo lakini ukusanya zaidi.
Sema tu kwenye mfumo wa kikomunisti Kodi utumika Kama tools ya kusomeshea namba ili wawe masikini ili watawaliwe.Maana ni rahisi Sana kumtawala mwenye njaa.
 
Back
Top Bottom